Jamii ya watu waliokuwa maeneo hayo waliuwawa, soma Biblia.Wakati "wanapewa"hiyo ardhi... ilikuwa tupu haina watu wanaoishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamii ya watu waliokuwa maeneo hayo waliuwawa, soma Biblia.Wakati "wanapewa"hiyo ardhi... ilikuwa tupu haina watu wanaoishi?
Hawakuuawa wote bana. Acha uongo. Ndo kisa cha Mungu kuchukia juu ya Joshua. Hivyo pale sio kwaoJamii ya watu waliokuwa maeneo hayo waliuwawa, soma Biblia.
Mungu alimchukia Joshua kwa kosa gani mkuu?Hawakuuawa wote bana. Acha uongo. Ndo kisa cha Mungu kuchukia juu ya Joshua. Hivyo pale sio kwao
Waliobaki ni wafilisti na walikuwa Gaza tu na wala sio ukingo wa magharibi wa mto Jordan wala Jerusalem.Hawakuuawa wote bana. Acha uongo. Ndo kisa cha Mungu kuchukia juu ya Joshua. Hivyo pale sio kwao
mkuu ahsante hebu ngoja na mimi nitatafiti hii habari ya MirajiSijakosea mkuu. Kwa imani ya Kiislamu Mtume Mohamad SW aliwahi paa akaenda mbinguni na kutembezwa kila mahali, ilibaki akutane na Mungu. Baada ya hapo akarudi duniani. Inaitwa safari ya Miraji. Sina hakika kama spelling nimepatia
Ebu weka nyama hapa tupate maarifa.Jerusalem ulikuwa unaitwa yebusi na Wakazi wake walikua wanaitwa wayebusi,
Watu walikuwepo na tena walianza na Mji wa Yeriko maana ulikuwa na ukuta mgumu,tena Yoshua aliwaambia ueni kila mtu hadi watoto(hapa alihofia kuwa hao watoto wakikua watakuja kuanzisha vita juu ya ardhi yao).Wakati "wanapewa"hiyo ardhi... ilikuwa tupu haina watu wanaoishi?
Sio kweli, kama mkristo, hatuamini wala hakuna fundisho la kusema Isaka ni mtoto wa kwanza wa Ibrahim. Wala sio mtoto wa pekee wa ibrahim.Nikukosoe
1. Wakristo wanaamini Isaack ni mtoto wa kwanza wa Ibrahim .
HIi ni kwel ni mtoto wa Kwanza ,iko wazi hata katika bible. Anaebisha ana shida zake .2. Waislam wanaamini Ismael ni mtoto wa kwanza wa Ibrahim
Ahsante kwa kunipa shule hebu ngoja nichimbe hii habari maana nashangaa kuna hadithi mtume mbinguni alipita nje jehanum akasikia kelele za wanawake akamuuliza MUNGU mbona wanawake ni wengi wanaopiga kelele? MUNGU akamjibu hawa viumbe duniani ndio watenda dhambi wakubwa.Na ndio waliomdanganya ADAMSijakosea mkuu. Kwa imani ya Kiislamu Mtume Mohamad SW aliwahi paa akaenda mbinguni na kutembezwa kila mahali, ilibaki akutane na Mungu. Baada ya hapo akarudi duniani. Inaitwa safari ya Miraji. Sina hakika kama spelling nimepatia
Mkuu,bado unachimba tu!😂😂😂Ahsante kwa kunipa shule hebu ngoja nichimbe hii habari maana nashangaa kuna hadithi mtume mbinguni alipita nje jehanum akasikia kelele za wanawake akamuuliza MUNGU mbona wanawake ni wengi wanaopiga kelele? MUNGU akamjibu hawa viumbe duniani ndio watenda dhambi wakubwa.Na ndio waliomdanganya ADAM