Mmiliki wa Facebook apingana na Twitter kuhariri tweets za watu baada ya Twitter kuhariri tweet ya Trump

Mmiliki wa Facebook apingana na Twitter kuhariri tweets za watu baada ya Twitter kuhariri tweet ya Trump

Tabia ya JF hii tushaikemea sana ila wanajifanya hawasikii
Hata JF wanajipambanua tu ila hawana sifa ya kuwa mtandao wa kujamii, Badala yake ni Chombo cha habari hichi mana wana edit zana contents za members wanashindwa kuacha kama kilivo
 
U͜͡j͜͡i͜͡n͜͡g͜͡a͜͡ h͜͡u͜͡u͜͡ s͜͡a͜͡s͜͡a͜͡....
 
mambo yameshaanza kuwa matamu. ngoja nisogeze kapu la popcorn kushuhudia huu mtanange.
 
Back
Top Bottom