Mmiliki wa Fastjet azuiwa kuingiza Tanzania ndege alizoagiza, duh Kenya tuendelee kuwaelewa hawa majirani

Mmiliki wa Fastjet azuiwa kuingiza Tanzania ndege alizoagiza, duh Kenya tuendelee kuwaelewa hawa majirani

Serikali inaona mbali kwa jinsi ilivyokaa kuna uwezekano KQ na SAA wanamtumia. Serikali inabidi ijihakikishie! Mpango wa KQ kuingia aviation market yetu kama kipindi cha PW SAA iliponunua ATCL lazma uzuiwe kwa nguvu zoote! Mbona nyie mliikataa Fastjet?
Wee ni ndumakuwili kweli, there is a time you were all over telling us how advanced the Tanzanian air market is and how the Kenyan one is closed. Case in point was how Fastjet was progressing and that Kenya was denying it the license to operate the Kenyan route. You thought that if Fastej was granted the license to fly to Nairobi it would smoke out KQ. Well, Fastjet was allowed to fly to Nairobi and it never lasted more than two months. Sasa hekaya unaleta zingine
 
Yaani siku za kwanza kwanza hapa Jamii Fforums nilikua napata hasira kila nikiona Watanzania wanapata wivu na chuki dhidi yetu, wakikejeli kila nzuri kwetu, kwamba kila tukileta habari nzuri za Kenya watakesha usiku wote wakitokwa povu kwa hasira, lakini baada ya muda mrefu nimekuja kuwaelewa, ndio asili yao maana hata wao wenyewe baina yao hawatakiani mema.
Kwao suala la kukwamishana ni jambo la kawaida sana.....


Kwa hivi sasa tz inaongozwa na kichaa..

Akili zilezile alizokuwa anatumia kuchunga ng'ombe kijijini kwao ndio anazotumia kuongoza Nchi..

No hasara kubwa sana huyu mtu.

Yani kwa akili zake fupi anafikiri kuiondoa FastJet ndio ATCL itawin biashara na ku make profit wakati mazingira wezeshi ya kufanya biashara ya Airline kwa tz hayapo..

Jinga sana hili mtu.
 
Serikali inaona mbali kwa jinsi ilivyokaa kuna uwezekano KQ na SAA wanamtumia. Serikali inabidi ijihakikishie! Mpango wa KQ kuingia aviation market yetu kama kipindi cha PW SAA iliponunua ATCL lazma uzuiwe kwa nguvu zoote! Mbona nyie mliikataa Fastjet?

When Fastjet was launched, you opened multiple threads calling it the KQ slayer. Seems the KQ slayer turned out to be the ATCL slayer
😂😂😂😂
 
Kuna nyakati nilifikiri Fastjet ndio national carrier ya Tanzania. ATCL inapumulia mashine Geza Ulole huwezi musikia popote. I love it... mzee alijipiga knockout sucker Punch.
 
Back
Top Bottom