TANZIA Mmiliki wa hoteli ya kitalii ya Snowcrest, William Mollel afariki

Wengi tunatembea na magonjwa mengine hatarishi kama pressure,kisukari,unene uliopitikiza nk tujikite kuyatatua hayo manake ndio shida ipo hapo corona inaanza tu ila wamaliziaji tunao ndani yetu tayari!
 
Mzee Ombay alifariki? Mbona sikuiskia hii habari ya kifo chake aisee. Mzee alikua poa sana nimefanya nae sana biashara 3 years back pale karatu na nimefikia sana kwenye hotel zake pale karatu mpaka nikang'oa dem wa kijerumani.Amefanya mambo makubwa sana huyu mzee pale karatu niliacha anamalizia mghorofa wake pale pembeni ya exim bnk ndo sikurudi tena since 2017. RIP mzee Ombay
 
chenyewe kikija kimekuja.

Acha kupotosha watu hapa. Kifo hakina tahadhari? Nenda basi kakatishe barabara bila tahadhari hutakufa. Fanya zinaa bila tahadhari kwani huwezi kufa. Katisha maeneo yenye vibaka usiku bila tahadhari hamna neno.
Kama ukinisoma kuelewa hukuna haja ya kusema naandika ili kupotosha hoja yangu imejikita hasa hapo nilipoji-quote,kwani huyu tunayeambiwa hapa amekufa ali-act yote uliyoorodhesha hapa?

Si amekufa tu akiwa ametulia?kama ni nyumbani au hospital hatujaambiwa amekatisha barabara akagongwa na gari au amepita vichochoroni vibaka wakamvamia.

Uliyoorodhesha hapa yanachangia %0.01 ya vifo vyote duniani ila vingi vinatokana na asili ya uumbaji na hajatokea bado wa kubishana na hili.
 

Wito kwa wana CCM: msingefurahia kwa Lissu kushambuliwa na kufurahia police kuzuia watu wasiende kumuombea lissu.
 
Ila Watanzania Mungu ameruhusu tufungwe akili!
Yaani kwa akili zako Cdm ndiyo inayowaombea kwa Mungu kifo Watanzania!.

Tatizo ni nini! Corona ipo na inakula vichwa, wewe singizia Cdm [emoji107]
 
Sikubaliani na wewe kabisa. Kwenye maisha tahadhari ni muhimu sana sana. Huwezi kuishi kwa tahadhari eti ka sababu hata ukichukuwa utakufa tu. Hivi unajua hata kula balanced diet ni kuchukua tahadhari? Unajua kufanya mazoezi ni kuchukuwa tahadhari? Unajua kwenda hospital unapoumwa ni kuchukuwa tahadhari? Unajua kujikinga na neti ni kuchukuwa tahadhari? Ndugu yangu hujasoma mahesabu ya probability nini?
 
Poleni sana, huo ukanda wengi wametutoka, sijui tunatofautiana maumbile! Huku nilipo wengi washakata kutokana na 👉🏽CVD19....Be careful, usipende kuzurura na kukaa katika mikusanyiko.
 
Akizungumza na mwananchi Mpwa wa mfanyanyabiasha huyo,Lemburis Sirikwa amesema Mollel amefariki Jana.

"Ni kweli Mollel ambaye ni mtoto wa dada yangu amefariki Jana baada ya kuugua kwa muda mfupi na taratibu za mazishi zinaendelea"
Yaani haki ya nani Tanzania tumebski na wandishi wa habari Taletale! Yaani Kaka wa mama yako ni Mpwa? Mungu wangu!
 

Brother!

Ikiwa unaamini wote wanaokufa hawachukui tahadhari yoyote hata kufikia vifo kuwakuta basi point tatu zote chukua wewe.tuna uelewa tofauti,mtu achukue tahadhari asichukue tahadhari(kujipatisha ajali etc) still wote wanakufa,hapa ndipo penye point yangu.
 
Scow crest Magufuli alivunja ile front line, ikakosa parking na ndio ikawa mwisho wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…