December 16, 2019
Mwanzilishi wa JamiiForums akizungumzia kuhusu tuzo aliyopewa hivi karibuni na jinsi mtandao huu unavyokabiliana na hali ngumu ya kutenda kazi hasahasa tukiangazia mazingira ya sasa Tanzania.
Hofu inajengwana na waandishi wenyewe lakini kama mitandao inafuata sheria na kanuni za uandishi bora basi changamoto zilizopo huwa zinaweza kukabiliwa bila hofu.
Anabainisha changamoto za waandishi wa habari wa nchi za Nicaragua huko Marekani ya Kusini, India na Pakistan ambayo pia wamepata tuzo kama JamiiForums.
Video/picture caption inaonesha : Mazungumzo ya Makamu wa Rais wa Marekani Mh. Mike Pence, alipokutana na Maxence Melo kama mwakilishi wa mtandao maarufu na mkubwa wa JamiiForums toka Tanzania.
Sources: DW Swahili Kipindi Kinagaubaga : ABC Habari
Mwanzilishi wa JamiiForums akizungumzia kuhusu tuzo aliyopewa hivi karibuni na jinsi mtandao huu unavyokabiliana na hali ngumu ya kutenda kazi hasahasa tukiangazia mazingira ya sasa Tanzania.
Hofu inajengwana na waandishi wenyewe lakini kama mitandao inafuata sheria na kanuni za uandishi bora basi changamoto zilizopo huwa zinaweza kukabiliwa bila hofu.
Anabainisha changamoto za waandishi wa habari wa nchi za Nicaragua huko Marekani ya Kusini, India na Pakistan ambayo pia wamepata tuzo kama JamiiForums.
Video/picture caption inaonesha : Mazungumzo ya Makamu wa Rais wa Marekani Mh. Mike Pence, alipokutana na Maxence Melo kama mwakilishi wa mtandao maarufu na mkubwa wa JamiiForums toka Tanzania.
Sources: DW Swahili Kipindi Kinagaubaga : ABC Habari
Michael Richard Pence is an American politician and lawyer serving as the 48th vice president of the United States. He previously was the 50th governor of Indiana from 2013 to 2017 and a member of the United States House of Representatives from 2001 to 2013. He is the younger brother of U.S. representative Greg Pence.