MMILIKI WA KAMPUNI META( FACE BOOK) NI BINADAMU WA KAWAIDA AU NI ROBOTI

MMILIKI WA KAMPUNI META( FACE BOOK) NI BINADAMU WA KAWAIDA AU NI ROBOTI

Udart

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
398
Reaction score
586
SALUTE.pole Wana jangwani Kwa kupoteza game ya Jana leo nimekuja na swali huenda likawa ni la kipuuzi Kwa baadhi ya watu ila ningependa kujua binafsi Huwa napenda kufuatiria au kusikiliza interview za watu wenye pesa nyingi kuanzia akina mo dewji mbaka mbele huko Kwa akina Jeff bezos nk
Sasa nikija Kwa huyu MMILIKI wa face book (meta) Huwa sikuelewi kuanzia body language gesture nk yaani utakuta jamaa anaongea dk 1 bila kupepesa macho wakati kiuhalisia BINADAMU yoyote ni sekunde tu jicho linacheza sasa huyu jamaa jicho ni kama linaganda pia hata uso wake ni kama jamaa amechongwa Yani hana ile nature ya kibinadamu wajuvi wa mambo mnisaidie hapa.
 

Attachments

  • Screenshot_20250119-165303.jpg
    Screenshot_20250119-165303.jpg
    456.7 KB · Views: 3
SALUTE.pole Wana jangwani Kwa kupoteza game ya Jana leo nimekuja na swali huenda likawa ni la kipuuzi Kwa baadhi ya watu ila ningependa kujua binafsi Huwa napenda kufuatiria au kusikiliza interview za watu wenye pesa nyingi kuanzia akina mo dewji mbaka mbele huko Kwa akina Jeff bezos nk
Sasa nikija Kwa huyu MMILIKI wa face book (meta) Huwa sikuelewi kuanzia body language gesture nk yaani utakuta jamaa anaongea dk 1 bila kupepesa macho wakati kiuhalisia BINADAMU yoyote ni sekunde tu jicho linacheza sasa huyu jamaa jicho ni kama linaganda pia hata uso wake ni kama jamaa amechongwa Yani hana ile nature ya kibinadamu wajuvi wa mambo mnisaidie hapa.
Watu mnapenda conspiracy.
 
Wala sio we angalia interview yake moja tu tena nusu dk angalia mboni za macho yake zinacheza baada ya mda sana sio kama sisi
Kwa hiyo hiyo ndiyo justification kuwa ni roboti?
Wewe umewahi kuona roboti lenye smoth motion movements za hivyo? Jinsi anavyotembea, jisnia anavyorusha mikono umewahi kuona roboti la hivyo hata na haya maendeleo yote ya teknolojia?
Wakati elon musk anazindua robotaxi, walionyesha roboti zao, uliona zina uwezo hata robo wa huyo unayedai ni roboti?
Ni conspiracy tu kama cha michelle obama kuwa mwanaume.
 
Unawezaje kugundua kuwa macho ya unayemtazama kuwa hayachezi ili hali yako yanacheza? Je, kama mboni ya jicho lake ikicheza na yako inacheza kwa wakati mmoja waweza kuhisi utofauti?
 
Back
Top Bottom