Nihaomedia7
Member
- Jul 19, 2021
- 32
- 77
Kuna jamaa anaenezeza uvumi kuwa mmiliki wa kampuni ya M-bet ni Mtanzania, kwanza nimwambie tu mtaji wa kuanzisha kampuni ya kubeti sio wakitoto ambao watanzania wanaweza kumudu. Sembuse Mtanzania amiliki kampuni ya beti inayofanya kazi Tanzania, Kenya, Uganda, Zambia, na Kongo?
Au anachukulia wasafi beti? Wasafi beti kwa taarifa yako no partnership ya kampuni ya Odibet yakenya (my intention kumiliki kampuni ya betting sio Jambo rahisi kuwa kila mtu anaweza kufanya hii biashara inahitaji pesa ndefu) kufungua kiduka Cha kubeti pekee inahitaji sio chini ya MILIONI 20 ambapo utapata gawio la faida ya 40% mpaka 50
Anyway kampuni ya M-bet group inamilikiwa na Dhiresh Kaba na ndipo wakongwe wa betting utasikia wanatamka mhindi mhindi
Au anachukulia wasafi beti? Wasafi beti kwa taarifa yako no partnership ya kampuni ya Odibet yakenya (my intention kumiliki kampuni ya betting sio Jambo rahisi kuwa kila mtu anaweza kufanya hii biashara inahitaji pesa ndefu) kufungua kiduka Cha kubeti pekee inahitaji sio chini ya MILIONI 20 ambapo utapata gawio la faida ya 40% mpaka 50
Anyway kampuni ya M-bet group inamilikiwa na Dhiresh Kaba na ndipo wakongwe wa betting utasikia wanatamka mhindi mhindi