Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mie pia ndio basi zangu hizo nikipanda zangu Moshi.Yani acha tu! Nayapenda haya mabasi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie pia ndio basi zangu hizo nikipanda zangu Moshi.Yani acha tu! Nayapenda haya mabasi!
Hawezi kuwa amezaliwa 1977 halafu awe na mtoto mkubwa namna ile.Yani amezaliwa 1977?
Halafu kwa Mwanaume kuwa na mtoto mkubwa hivyo ktk umri huo?!
Huenda wamekosea huo Mwaka!
Duh we Noma[emoji16][emoji16][emoji16]Kweli kabisa kanjibai
Sio rahisi Kwa mke kuweza bihashara za kibabe za magariR.I.P na pole kwa familia. Mungu amponye mkewe walau aendeleze utajiri.
Shida sio gari nyingi! Je, hizo chache huduma zake zikoje?Kuteka soko kaskazini?!unacheza wewe! KLM, Extra, BM, Tahmeed umewaweka wap? Mtu Ana gari 2 juzi Kati ndo kaongeza 2 nyingine.
Mke nae ashafariki mkuu ooho..!!Sio rahisi Kwa mke kuweza bihashara za kibabe za magari
Duhu hatari sana, dunia inatishaMke nae ashafariki mkuu ooho..!!
Mkuu mtu wa 1977 ana miaka 43, mbona kama huyo bint ni mkubwa tena umeandika alikua anaolewa anyway.
Apumzike panapo stahili..!
Vp mzee[emoji41]Duh we Noma[emoji16][emoji16][emoji16]
Acha kufananisha ndege na mkusanyiko wa mabati/makopo yaliyopigwa Rangi na injini (pamoja) unaoendeshwa na deiwaka asiyepitia mafunzo stahiki. Inaonekana hujawahi kupanda ndege.Shida sio gari nyingi! Je, hizo chache huduma zake zikoje?
Marangu ziko express na full ac bila utapeli wa kuzimiana ac njiani! Kama wapuuzi wengine wachache kama happy nation.
Gari safi kama ndege!
Vp mzee[emoji41]
Ndio nlikua nashangaa lini dunia kaoza binti yake,istoshe sio wa 1977Binti bado yupo sec mkuu hyo ilikuwa siku ya harusi ya ndugu, bt bint na hyo kaka yake bado wako sec ingawa shule yao wanatumia silabus ya majuu.
Poleni sana
Vingi amekosea plus mwaka wa kuzaliwaAmekosea vingi ila haina maana .
Kumbe mitaa ya karibu hiyo
Mungu amponye Huyo mama maana hata Sijui kama anajua kuwa mumewe amefariki.
Mungu amfanyie wepesi aangalie watoto