kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,466
- 4,916
Gari ni Yutong nzuri, gari inasimama kila kituo, inachukua hadi abiria wa buku 2. Wanaenda wanavyotaka, wanaweza wakasimama tu bila sababu ya msingi. Kahama tumetoka saa 12 ndo tunaingia Dodoma hapa.
Hakuna abiria ametoka Kahama na hii gari anaweza kuipanda tena hata kwa bure.
Hakuna abiria ametoka Kahama na hii gari anaweza kuipanda tena hata kwa bure.