Kuna watu bado mnapanda majinja?Bora Hilo Kuna wajinga wanaitwa majinja
Basi we Ni bo----ya. Wenzako Frester na Kisibo wanatoka hapo wamejaza. Hiyo Gari watu hawapandi unabaki kuokoteza watu wa buku mbili mbili, wakati chombo Ni mpya kabisa. Chombo inapita hadi minadani jamani.Gari ni yangu ndiyo lakin vijana wanatakiwa wajaze mafuta na wajilipe posho na hiyo ni gari ya public huwezi kuzuia kusimama, kama inakukera kusimama unaweza ukalipia 1.6M tukupeleke kahama peke yako bila kusimama sehem yoyote.
Usiwaite mbwa vjana wenzako wanao tafuta rizki ya halali
Hiyo ni gari ya biashara mkuu..ukitaka kuwahi,nunua yako t
Ndyo sie wanyongekuna watu bado mnapanda majinja?
Gari ni Yutong nzuri, gari inasimama kila kituo, inachukua hadi abiria wa buku 2. Wanaenda wanavyotaka, wanaweza wakasimama tu bila sababu ya msingi. Kahama tumetoka saa 12 ndo tunaingia Dodoma hapa.
Hakuna abiria ametoka Kahama na hii gari anaweza kuipanda tena hata kwa bure.
Abiria hakuna mdau usilalamike.....Gari ni Yutong nzuri, gari inasimama kila kituo, inachukua hadi abiria wa buku 2. Wanaenda wanavyotaka, wanaweza wakasimama tu bila sababu ya msingi. Kahama tumetoka saa 12 ndo tunaingia Dodoma hapa.
Hakuna abiria ametoka Kahama na hii gari anaweza kuipanda tena hata kwa bure.
Je mlitoka dar gari ikiwa full na wote ni mbeya moja???Bora Hilo Kuna wajinga wanaitwa majinja
From Mbeya to dar es salaam
Kutoka 12 am
Kufika 21:30 ucku mbwa kabisa hawa
Kwa haraka haraka hapa wewe ndio boya maana umeshindwa kumuelewa mtoa mada...Basi we Ni bo----ya. Wenzako Frester na Kisibo wanatoka hapo wamejaza. Hiyo Gari watu hawapandi unabaki kuokoteza watu wa buku mbili mbili, wakati chombo Ni mpya kabisa. Chombo inapita hadi minadani jamani. Inashusha na kupakia kila eneo Kama mchomokoππππππππ.
Nakwambia hao wa buku mbili mbili nao wataikimbia kwa sababu itafika sehemu na wao wataona inawachelewesha.
Yaani Kuna Lori tumetoka nalo Sekenke haki ya mungu tumefika nalo Dodoma eti. Hata Noa zimetuacha njiani. Jing--a Sana Hawa jamaa. Hiyo Gari wanaishushia hadhi kabisa Hawa mbu--++++zi
NdyoJe mlitoka dar gari ikiwa full na wote ni mbeya moja???
Nna kawaida 1Gari ni Yutong nzuri, gari inasimama kila kituo, inachukua hadi abiria wa buku 2. Wanaenda wanavyotaka, wanaweza wakasimama tu bila sababu ya msingi. Kahama tumetoka saa 12 ndo tunaingia Dodoma hapa.
Hakuna abiria ametoka Kahama na hii gari anaweza kuipanda tena hata kwa bure.
Ila sio ile Bul. Daadek ila chuma ina maelekezo. [emoji119][emoji119][emoji119]Bora Hilo Kuna wajinga wanaitwa majinja
From Mbeya to dar es salaam
Kutoka 12 am
Kufika 21:30 ucku mbwa kabisa hawa
Nimeona video insta imepelekwa kigoma mamaeee lile vumbi alilotimua si mchezo mpaka mchukua video alishindwa kuona mbele.....sijui ni kibondo pale hakuna lamiIla sio ile Bul. Daadek ila chuma ina maelekezo. [emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana. Bul sijui kwanini waliihamisha njia ya sumbawanga wakaipeleka kigoma? Wallahi akina new force wangekaa wote.Nimeona video insta imepelekwa kigoma mamaeee lile alilotimua si mchezo mpaka mchukua video alishindwa kuona mbele
Huwezi kuwa mmiliki halali wa hayo magariGari ni yangu ndiyo lakin vijana wanatakiwa wajaze mafuta na wajilipe posho na hiyo ni gari ya public huwezi kuzuia kusimama, kama inakukera kusimama unaweza ukalipia 1.6M tukupeleke kahama peke yako bila kusimama sehem yoyote.
Usiwaite mbwa vjana wenzako wanao tafuta rizki ya halali