Mmiliki wa saluni ya kike Sinza adaiwa kuuawa kwa kunyongwa na mpenzi wake

Mmiliki wa saluni ya kike Sinza adaiwa kuuawa kwa kunyongwa na mpenzi wake

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Matukio ya wanawake kuuawa kikatili na wapenzi au waume zao yameendelea kutikisa, baada ya mwanamke mmoja mmiliki wa saluni ya Madam Beauty Point iliyopo Sinza Jijini Dar es Salaam anayefahamika kwa jina la Leonia Julius, kudaiwa kuuawa kwa kunyongwa na mpenzi wake wakiwa hotelini.

Inadaiwa tukio hilo limetokea maeneo ya Tegete na tayari mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala.

Baadhi ya wafanyakazi na ndugu wa marehemu wamezungumza leo Jumapili Juni 19, 2022 na kusema ni kweli mwanamke huyo amefariki na inadaiwa wakati akiingia hotelini kamera zilizopo hotelini hapo zilinasa wakati wakiingia.

Chanzo: Global TV Online
 
Maisha yamekuwa magumu sana.
Kiini cha hayo mauaji kinaweza kuwa ni PENZI against PESA.

Mwanaume amejipinda kwa kujinyima akawekeza halafu mwanamke anataka kuvunja mahusiano kirahisirahisi tena labda kwa nyodo....mtu ni lazima aue bila kukusudia.
 
Screenshot_20220618-205346_1.jpg
Pumzika kwa amani, na poleni Wana familia
 
uonapo vya elea jua vimeundwa wanawake tafteni lain bandia kwenye mawasiliano yasiri endapo umalaya kuacha mnashindwa
 
Asante Uncle kwa angalizo. Mahusiano ya siku hizi ni changamoto.

Nasikia hao walipelekana hadi mahakamani na mahakama ikaamua waachane ila ndugu sijui wa upande gani wakagoma ndoa kusambaratika mpaka hapo walipouana kwa jembe. Inasikitisha sana.

Anko kuwa makini sana, maisha yamebadilika sana kwenye mahusiano. Majuzi siku ya Jumanne hapa mtaani kwetu jamaa kamsambaratisha kichwa mke wake kwa jembe...
 
Mm huwa sina cha kujifunza ktk matukio kama haya maana sababu za mauaji ni ulimbukeni tu......how come ww let say ukamsomeahe demu, au uumpe mtaji millions of Tsh...? In return of love ......

Mapenzi sio biashara guyz , acheni ulimbukeni wa kujaribu kuwekeza kwa wapenzi wenu .,.mtauua bure na mtaozea jela tu wapuuuzi nyieeee
 
Mwanamke akishika visenti kidogo anakuwa jeuri,zama hizi ni kulamba mchanga tu
 
Rip .......... Wenye pesa wanachapiwa na wasio na mkwanja sasa utawasikia tafuta hela ila inaonekana huwez mtuliza Mwanamke kwa mkwanja .
 
Asante Uncle kwa angalizo. Mahusiano ya siku hizi ni changamoto.

Nasikia hao walipelekana hadi mahakamani na mahakama ikaamua waachane ila ndugu sijui wa upande gani wakagoma ndoa kusambaratika mpaka hapo walipouana kwa jembe. Inasikitisha sana.
Ni kweli mke alibaki pale kwa mamlaka ya mahakama.
Tuishi kwenye mahusiano kwa machale.
Ukihisi tu tambaa
 
Mm huwa sina cha kujifunza ktk matukio kama haya maana sababu za mauaji ni ulimbukeni tu......how come ww let say ukamsomeahe demu, au uumpe mtaji millions of Tsh...? In return of love ......

Mapenzi sio biashara guyz , acheni ulimbukeni wa kujaribu kuwekeza kwa wapenzi wenu .,.mtauua bure na mtaozea jela tu wapuuuzi nyieeee
Ninyi ndio mna kazi ya kubadilisha madem hadi wa rafiki zenu.Zamu yenu inakuja.Mtu anaanza na wewe kwanza
 
Back
Top Bottom