Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
KilimanjaroIyo serval ipo mkoa gani?
Habari zenu wakuu.
Naomba kujwa wa mmiliki wa serval wildlife ni serikali au mwekezaji, maana naona gharama zake ni kubwa sana kwenda kutembelea hiki kivutio.
View attachment 2289669View attachment 2289670
Tafuta pesaHabari zenu wakuu.
Naomba kujwa wa mmiliki wa serval wildlife ni serikali au mwekezaji, maana naona gharama zake ni kubwa sana kwenda kutembelea hiki kivutio.
View attachment 2289669View attachment 2289670
Tujuze gharama zake ni shilling ngapi?
Mbona kidogo sana. Mimi nilidhani milioni Moja kwa saa na VIP milioni 5 kwa saa.100,000 kwa saa moja
Ukosefu wa ajira, na utapia mlo limekuwa tatizo kubwa kwa vijanaUkubwa wa gharama zake inahusiana vipi na kumjua mmliki wake?
Au umbea TU unakusumbua.
Tafuta hela hakuna gharama kubwa hapo kumbuka starehe ni gharama na gharama ya kwanza ni fedha.Endelea kuangalia Safari Channel kwa kupenda bureHabari zenu wakuu.
Naomba kujwa wa mmiliki wa serval wildlife ni serikali au mwekezaji, maana naona gharama zake ni kubwa sana kwenda kutembelea hiki kivutio.
View attachment 2289669View attachment 2289670
100,000 kwa s
100,000 kwa saa mo
Samahani kaka nimekutumia private message naomba unijibu100,000 kwa saa moja
iko sanya juu.sio toleo la 3 man.Mwarabu toleo la tatu..