Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Mmiliki wa TANROSE INVESTMENT Dada Rose amefariki Dunia... Kwa Wahenga wale 1990es alimiliki maduka ya kukodisha Movies Namanga na Sinza... RIP Dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unataka kusema ukweli kuwa ni second wave au unawaza mengine?Kila siku tunasema kuanzia Dec 2020 idadi ya taarifa za vifo zimekuwa nyingi sana.
Askofu Bagonza - Afya sio mali ya serikali.
Poleni sana ndugu,jamaa na marafiki.
Hivi yule Waziri kutoka nchini China aliyeenda Chato Mkoani Geita hakubakiza kweli Chanjo ya CORONA / COVID-19 ili wengine tunywe na tusife?Kila siku tunasema kuanzia Dec 2020 idadi ya taarifa za vifo zimekuwa nyingi sana.
Askofu Bagonza - Afya sio mali ya serikali.
Poleni sana ndugu,jamaa na marafiki.
Hivi yule Waziri kutoka nchini China aliyeenda Chato Mkoani Geita hakubakiza kweli Chanjo ya CORONA / COVID-19 ili wengine tunywe na tusife?Mmiliki wa TANROSE INVESTMENT Dada Rose amefariki Dunia... Kwa Wahenga wale 1990es alimiliki maduka ya kukodisha Movies Namanga na Sinza... RIP Dada
View attachment 1678109View attachment 1678110
Kila siku tunasema kuanzia Dec 2020 idadi ya taarifa za vifo zimekuwa nyingi sana.
Askofu Bagonza - Afya sio mali ya serikali.
Poleni sana ndugu,jamaa na marafiki.
Kabisa BAK kuna kitu hakipo Sawa.RIP Dada.
Askofu Bagonza: Kuna kitu hakiko sawa
CORONA BADO IPO DUNIANI Kufuatia taharuki inayotokana na vifo kadhaa mwishoni na mwanzoni mwa mwaka hapa Karagwe, watu wengi wamekuwa wanapiga simu kwangu na kwa uongozi wa hospitali teule ya Nyakahanga kuulizia kulikoni? Jibu hili litoshe kusaidia kujibu maswali hayo: 1. Corona BADO iko...www.jamiiforums.com