Mmiliki wa The Cask Bar Mwanza afikishwa mahakamani

Kifungu namba 9(2) cha mwaka 2015 cha sheria ipi wanasheria tusaidieni! Au haraka za mwandishi
 
Mtoa mada umetia chumvi! Mbona hakuna hata picha moja inayo muonesha huyo Makanyaga akitimua mbio? Picha inamuonesha jamaa akiondoka zake taratibu! Wewe unasema ametimua mbio!!
 
Mtoa mada umetia chumvi! Mbona hakuna hata picha moja inayo muonesha huyo Makanyaga akitimua mbio? Picha inamuonesha jamaa akiondoka zake taratibu! Wewe unasema ametimua mbio!!
Unataka kuona mpaka picha za kukimbizana, ukiandika hivyo inatosha...😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…