Mmmh! Humu kweri hamna mademu

Mmmh! Humu kweri hamna mademu

Kaka samahani tena utukome na ututue km mzigo wa kuni!!!!!!!
huenda we mwenyewe hauna viwango ndo maana umeambulia kufanywa ATM.
 
Acha kunipm wewe dogo,mimi sio demu
ninajiheshimu

Hahahahaaa kumbe kaku PM na ww mi mwenyewe kani PM mda c mrefu huyu cjui balehe inamsumbua..! Dogo 2malizane hapahapa sebuleni huko chumban (PM) c mahala pake ww c kidume

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
hahahahaaa kumbe kaku pm na ww mi mwenyewe kani pm mda c mrefu huyu cjui balehe inamsumbua..! Dogo 2malizane hapahapa sebuleni huko chumban (pm) c mahala pake ww c kidume

sent from my blackberry 8520 using jamiiforums
kakuambieje?
 
Hahahahaaa kumbe kaku PM na ww mi mwenyewe kani PM mda c mrefu huyu cjui balehe inamsumbua..! Dogo 2malizane hapahapa sebuleni huko chumban (PM) c mahala pake ww c kidume
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
kumbe watoto wakiume mnajipa majina ya kike tobaaaa hee
 
wewe umefuata nini huku, kama sio kufuata hiyohiyo mitelemko? Shwain......
 
Ni kweli ndugu humu Jf hamna mademu. Ila kuna wananawake, wasichana na mama tu. Mademu wapo facebook, badoo na tweter.
 
Umeona eeh!
Hebu Mwambie huyo mtoto wa mama aende zake fb atuachie jukwaa letu

Ni kweli ndugu humu Jf hamna mademu. Ila kuna wananawake, wasichana na mama tu. Mademu wapo facebook, badoo na tweter.
 
Naona kapotea njia, mods mwelekezeni pa kwenda huyu
 
wadau na hasa wenye jinsia ya kike...naomba mutafute mantiki..na theme ya post/thread ya huyu dogo...nahisi kuna ujumbe mzito ndani yake ila mumeamua-kumu-attack yeye mwenyewe na sio hoja yake...

naomba mujirudishe kwenye u-great thinker kama ilivyo jadi yetu na sio great sinkers...NAWASILISHA HOJA....ni maoni tuu.
 
Toka nijiunge humu galz wahumu siyo wakuoa wala kuolewa wamekaa kimajungu na kingono ngono muda wote wanawaza kugegedwa tu na wote wapo jukwaa hili la mapenzi siwaoni hata majukwaa ya muhimu wao ni story za tigo na kutafta mabwana mara natafta babu mwenye pesa mara natafta dume mwenye kipato hebu fanyeni kazi acheni mawazo ya kidwanzi tena mnajiita masister du wa kuomba ATM muda wote MPESA me kwa mwenendo huu hamponi full vidonge,tulidhani elimu itamkumboa mwanamke kumbe ndo inamuangamiza.namaliza kwa kusema karne hii hakuna mwanamke wa kuolewa nikumalizana hapa hapa kama biashara tushakula hasara nyingi men kama mmemaindi madada poa 😛leaseban:
Mkuu ukienda Toilet utakuta na Ki**si, sasa wewe kwenye hilo jukwaa ulitegemea nini?. Alafu naona wewe unakaa huko tu, mbona akina Elizabeth Dominic, gfsonwin Kaunga [MENTION]Blackwoman[/MENTION] Mwali na wengine wengi tunao kwenye majukwaa mengine?.
 
Last edited by a moderator:
ukweri unauma

Sio "ukweri" ni "ukweli"....ndo maana maziro ya kutosha!!!!!!!!!!!

Back to topic: kama upo hapa kwa ajili ya kutafuta dem humpati mtu humu!!!!!!
hiyo ni pilipili ya shamba mtoto wa kiume utakunwa bureeee,
kuongea aongee mwingine kuwashwa uwashwe wewe inahuu.......kugegedwa muhimu kuliko hata kula kama hujui.
 
Hahaha nshapita miye muungwana sijui....kweli vile jamaa kaongea...laki mbona kama kweli au me msamba
 
Back
Top Bottom