gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
ukweri unauma
hhahhahahhahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
DEDICATION DUME DADA by Shilole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukweri unauma
Toka nijiunge humu galz
wahumu siyo wakuoa wala kuolewa wamekaa kimajungu na kingono ngono muda
wote wanawaza kugegedwa tu na wote wapo jukwaa hili la mapenzi siwaoni
hata majukwaa ya muhimu wao ni story za tigo na kutafta mabwana mara
natafta babu mwenye pesa mara natafta dume mwenye kipato hebu fanyeni
kazi acheni mawazo ya kidwanzi tena mnajiita masister du wa kuomba ATM
muda wote MPESA me kwa mwenendo huu hamponi full vidonge,tulidhani elimu
itamkumboa mwanamke kumbe ndo inamuangamiza.namaliza kwa kusema karne
hii hakuna mwanamke wa kuolewa nikumalizana hapa hapa kama biashara
tushakula hasara nyingi men kama mmemaindi madada poa
😛leaseban:
lugha gani hiyo....rudi shuleni wakurudishie ada yakounatakuwa upo humu kutafta mkuu
Nzuri tuNINI TENA DADA ? ZA MIAKA KITAMBO SINCE 2012
Kuna Demu Umemtongoza Nn?Dah kuna wadada nawaheshimu humu ndani halafu wewe unaleta kashifa kiasi hiki. Halafu kama unakutana na walu walu ujue na wewe ni waluwalu "law of attraction", kwa hiyo kabla hujaanza kuwaponda na wewe jicheki kwa nini unakutana nao.
Kuna Demu Umemtongoza Nn?
Kwanza Za Miaka Mkubwa Maana Kitambo Sana Na Huu Uzi Wa 2012
Hili jiwe lililotupwa gizani limekupata bahati mbaya mkuu?[emoji30][emoji30][emoji30]Mods futa hii kitu haraka
Dada white naruhusiwa kukupenda bure?[emoji30][emoji30][emoji30]Madam tunatakiwa tuwajari na watu wenye mtindio wa ubongo tusiwanyanyapae punguza hasira mwahego.