Hana shule,ulitaka afanye umalaya?
Kwani shule ipi ina guarantee ajira ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana shule,ulitaka afanye umalaya?
NAKAZIAHuyu demu ndio n mzuri ila sio kiasi hicho anavyopandishwa
Demu wa kawaida mno ila tuseme tuu n wakati wake kujulikana ila hata demu wangu wa uswahilini anamzidi mbali sana kwa uzuri.NAKAZIA
Demu wa kawaida sana yaani kawaida mno
Kafupi sn
maajabu hayawezi kwishaKwanini mnasema hiyo ni pisi kali? Mavazi? Sura?
Hana shule,ulitaka afanye umalaya?
Acha dharau mkuu unasemaje kazi halali za watu hazieleweki, wewe kama umebahatika kupata nafasi sehemu shukuru.ila usidharau kazi za wengineHisi pisi ilikuwaje hadi akawa kondakta?
Demu sura nzur alafu anafanya kaz haieleweki..!
Chinese figure 🤣
Nimewahi date PisiKali ya huko, imeenda hewani halafu nyeupe balaaWaambie kiongozi waje huku bariadi waone pis imeenda hewani nyeupe mguu sasa daah
Hii ni uongo hakana tako
Hata hivo kameonyesha paja na upande WA katakoHii ni uongo hakana tako
sikupingi.Wachaga umbo Huwa mtihani ila sura wanakuwa sawa
Na miguu yao ( ni watu wangu) inakuwaga kama bapa (chupa) ya konyagi... Wengi sana hawana miguu ya bia.sikupingi.
😂😂 Demu asiyekuwa na kalio hata la nusu kilo huyo ni ostazi tu.
Nashangaa Kuna mtu et anakwambia Bariadi hakuna pis labda hajawahi fika vijijini kule aone pis natural aache kihangaika na pisi fake Kila kituNimewahi date PisiKali ya huko, imeenda hewani halafu nyeupe balaa
Hadi nikahisi labda Kagame ameamua kunitega Kwa kuniletea ile Pisi
Nyie hii Dunia Mungu amejua kuiumba aisee 🤗
Af kama mi mweupe lazima mishipa ya damu ionekane kama ya kijani.Na miguu yao ( ni watu wangu) inakuwaga kama bapa (chupa) ya konyagi... Wengi sana hawana miguu ya bia.
Mcheki mwanamke wa kichaga mguu halafu cheki bapa la konyagi......
Mbona yuko bomba tuu? Wewe una matatizo gani? Unataka awe kama Miss Natafuta ?