mmmhhh NDOA???

mmmhhh NDOA???

afrodenzi

Platinum Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
18,150
Reaction score
9,255
Waheshimiwa
Na wataalum wote
wa mambo ya mahusiano,mapenzi na urafiki

naombakuuliza ni nini au ni kitu gani
Kinacho mfanya mtu kuoa au kuolewe?
Je ndoa zote ni matokeo ya upendo wa hali ya juu??

Ni hayoo tu
Ps. ..maoni yote yana karibishwa
asanteni

AD
 
Mh! Baada ya kuka-emo kwa miaka kadhaa, hata sielewi jibu kwa swali lako, kumbukumbu zimenipotea sababu sizikumbuki.
 
ndoa ni makubaliano kai ya watu wawili ambao wamekubaliana kuishi pamoja maisha yao yote hapa duniani.........sasa siku hizi kuna shda kidogo....wapo wanaotaka kuolewa /kuoa kwa nia nzuri na hawa huwa wanafanikiwa.........wapo wanaoolewa/kuona kwa shingo upande(hili ni kundi kubwa sana) sana sana anataka aonekane kaoa/kaolewa lakini hakuna mapenzi ya dhati....... na hawahawaishi kulia lia kila siku na ndoa huwa hazidumu......
 
Digna...........aksante kwa kunichekesha asubuhi.................... dah

AD......... kuna sababu nyingi tu zinazowafanya watu waoe/olewe na hiyo ya upendo wa hali ya juu ni mojawapo ambayo kwa bahati mbaya pamoja na kuwa ni ya muhimu but ni wachache waliobahatika kutunukiwa.

Wengine huoa/olewa kwa sababu either muda umefika
Wengine kwa kuwa marafiki na wenzi wa rika lao wote wameoa/olewa so wanaona na wao hawana budi
Wengine ndugu wanawaforce kuoa/olewa
Wengine wanategeshewa (hasa wanaume) galfriend anabeba mimba so wanazuia mtoto kuzaliwa out of wedlock
Wengine kutokana na ugumu wa maisha (umasikini)
n.k.

So sababu ni nyingi tu AD.
Unataka kuolewa?
 
News alert ehh?
Ni maamuzi yanayosukumwa na mapenzi ya kweli kwa baadhi..tamaa ya kuitwa mke/mume wa mtu..msukumo toka kwa ndugu, jamaa na marafiki..umasikini..kulazimika kutokana na mimba ambazo hazikupangwa na wengine hawana hata sababu wanaingia tu!
 
Waheshimiwa
Na wataalum wote
wa mambo ya mahusiano,mapenzi na urafiki

naombakuuliza ni nini au ni kitu gani
Kinacho mfanya mtu kuoa au kuolewe?
Je ndoa zote ni matokeo ya upendo wa hali ya juu??

Ni hayoo tu
Ps. ..maoni yote yana karibishwa
asanteni

AD
Jibu la hilo swali ni NDIO halafu vile vile ni HAPANA kuna watu wengine wanaingia kwenye ndoa kwasababu ya upendo na utayari walionao hao wahusika wawili kuna wengine wanaingia kwenye ndoa kwasababu anakuwa ana malengo fulani mfano mdogo kuna msichana ambaye namjua yeye alisema wazi kabisa na alikuwa akiwaambia na marafiki zake kwamba "I'm getting married to this guy simply because of his wealth i don't love him that much i only want his money" sasa huu ni mfano mdogo katika ya mifano mingine mingi tu tumekuwa tukiona same trend kwa wanaume siku hizi pia.

Wapo wachache ambao wanaingia ndani ya ndoa baada ya kuona kuwa wako tayari kuanzisha familia lakini binadamu tunageuka leo hii unaweza kuona mtu huyu anakufaa sana na kabla ya ndoa akakuonyesha upendo wa ajabu ambao hakuna mtu aliyewahi kukuonyesha lakini mkiingia kwenye ndoa inakuwa tofauti kutokana na kwamba lengo lake hasa lilikuwa ni mali na fedha ulizonazo ndicho hasa alikuwa anakitaka na sio wewe.
 
Digna...........aksante kwa kunichekesha asubuhi.................... dah

AD......... kuna sababu nyingi tu zinazowafanya watu waoe/olewe na hiyo ya upendo wa hali ya juu ni mojawapo ambayo kwa bahati mbaya pamoja na kuwa ni ya muhimu but ni wachache waliobahatika kutunukiwa.

Wengine huoa/olewa kwa sababu either muda umefika
Wengine kwa kuwa marafiki na wenzi wa rika lao wote wameoa/olewa so wanaona na wao hawana budi
Wengine ndugu wanawaforce kuoa/olewa
Wengine wanategeshewa (hasa wanaume) galfriend anabeba mimba so wanazuia mtoto kuzaliwa out of wedlock
Wengine kutokana na ugumu wa maisha (umasikini)
n.k.

So sababu ni nyingi tu AD.
Unataka kuolewa?
Habari za asubuhi mjukuu umeamka salama kabisa, umeoga, umepiga mswaki, umekunywa chai, umesoma magazeti ya leo asubuhi
 
hiyo ya upendo ni mojawapo
Wengine hupenda kuoa/kuolewa kwa kufwata maagizo ya vitabu vitakatifu vya Mungu
wengine hupenda kuoa/kuolewa kwa sifa hata kama hakuna mapenzi watu waone
 
Digna...........aksante kwa kunichekesha asubuhi.................... dah

AD......... kuna sababu nyingi tu zinazowafanya watu waoe/olewe na hiyo ya upendo wa hali ya juu ni mojawapo ambayo kwa bahati mbaya pamoja na kuwa ni ya muhimu but ni wachache waliobahatika kutunukiwa.

Wengine huoa/olewa kwa sababu either muda umefika
Wengine kwa kuwa marafiki na wenzi wa rika lao wote wameoa/olewa so wanaona na wao hawana budi
Wengine ndugu wanawaforce kuoa/olewa
Wengine wanategeshewa (hasa wanaume) galfriend anabeba mimba so wanazuia mtoto kuzaliwa out of wedlock
Wengine kutokana na ugumu wa maisha (umasikini)
n.k.

So sababu ni nyingi tu AD.
Unataka kuolewa?

Daahh
sante sana my dear
daahh umenichekesha eti
nataka kuolewa mmmhhh
mmhh mwenzangu mie kuolewa
Daahhh hiyo kitu naogopa
mie mwanaume aki propose na mwacha
tayari wawili mmhhh
 
Waheshimiwa
Na wataalum wote
wa mambo ya mahusiano,mapenzi na urafiki

naombakuuliza ni nini au ni kitu gani
Kinacho mfanya mtu kuoa au kuolewe?
Je ndoa zote ni matokeo ya upendo wa hali ya juu??

Ni hayoo tu
Ps. ..maoni yote yana karibishwa
asanteni

AD

Wengi wanaoa kwa kutimiza wajibu flani kaoa wacha na mm nioe/kuolewa
 
News alert ehh?
Ni maamuzi yanayosukumwa na mapenzi ya kweli kwa baadhi..tamaa ya kuitwa mke/mume wa mtu..msukumo toka kwa ndugu, jamaa na marafiki..umasikini..kulazimika kutokana na mimba ambazo hazikupangwa na wengine hawana hata sababu wanaingia tu!

Hahahshhah lol
Hizo za kuigwa mbona
mie sizijui mpenzi haha
unavituko wewe..
 
Home boy unaoa lini aisee???

Mi naoa uzeeni nikioa tu nimejipiga kitanzi...nitakuwa naonana vp na nyie wapwa
Huku na huku naoa mke kama Lucy Kibaki nyie wapwa sijui kama mtakuwa mnakanyaga home achilia mbali mm manyanyaso nitakayo kuwa nayapata lakini umri ukiwa umekwenda aaah navumilia tu. Kwa sasa damu bado inachemka nahitaji kupata tuzo ya kuwa na watoto wengi.
 
Back
Top Bottom