mmmhhh NDOA???


dah.. huwa inatokea mtu! mtu umekaanaye kama g.f.b.f wako kwa muda mrefu.. basi inafika kipindi unahitaji kuwa naye karibu zaidi nafkri the only way ni ndoa
 
hahaaaaaaaaaaaaaa mpenzi wangu,hakuna barabara iliyonyooka ushaiona wapi wewe... unataka kushuka tu milima hutaki kupanda ndo kinachokuponza.


Mara ngapi bana.......................we acha hivyo hivyo pretend kama hujaona
 
hahaaaaaaaaaaaaaa mpenzi wangu,hakuna barabara iliyonyooka ushaiona wapi wewe... unataka kushuka tu milima hutaki kupanda ndo kinachokuponza.

Jamani da mzuri Chauro
ya lolliondo imenyooka
Khaaa au we bado hukwenda kule..
hahahshhah lol
 
darling hii shule mwenzio nilishafeli mitihani mpaka nikachoka,halafu sijui ndo nimeanza kuelewa au bado nachemsha.........ngoja niwahi kwa mwalimu wangu nisije nkakosa vyote sasa.


Jamani da mzuri Chauro
ya lolliondo imenyooka
Khaaa au we bado hukwenda kule..
hahahshhah lol
 
Pia lipo kundi la Ndoa nyingi zakushinikizwa na wazazi.
"mnazurura kwenye miji ya watu hovyo tu mtajenga lini ya kwenu?" "ukitaka kupiga kelele kajenge kwako!" kauli kama hizi very primitive utaoa/kuolewa bila kupenda.
 
Hakuna general formular,kila mtu ana sababu zake. Unaweza kukuta mume ana sababu tofauti na aliyonayo mke anayemuoa.
 
AD kweli wewe uko tofauti. wengine wanakesha kusali kuomba wapate mume wewe unawakimbia!! halafu mnabakia kulalamika mbona hatuolewi..wanaume wanamega na kuchapa lapa....kumbe pia wanawake wanaweza kuwa chanzo..ndoa ni jambo la hiari kati ya wawili waliopendana mtu mume na mtu mke kuendana na maandiko matakatifu na kuishi kwa pamoja kwa SHIDA na RAHA mpaka siku kifo kitawatenganisha...kwa kufuata sheria na kanuni za ndoa. hivyo kwenye ndoa kuna raha na karaha..hakuna ndoa inayoweza kusimama bila kuwa na misukosuko midogo midogo ya hapa na pale. kwa binadamu hakuna alie mkamilifu
Daahh
sante sana my dear
daahh umenichekesha eti
nataka kuolewa mmmhhh
mmhh mwenzangu mie kuolewa
Daahhh hiyo kitu naogopa
mie mwanaume aki propose na mwacha
tayari wawili mmhhh
 

My dear
kila nwanamke ni tofauti
Kuna wengine ndoa then career
kuna wengine career halafu ndoa..
lakini in some stage wengi wanaishi
kuolewa.. kweli mi sinto kudanganya na kaa
hapa na ku lalamika sina mume.. nafurahia maisha
niliyonayo sasa nimeridhika lakini akitokea wa haswa
na kweli chemistry zetu zimekutana basi mbele kwa mbele..
lakini kwa sasa I'm just chilling,relaxing, and enjoying my life..
 
Pia lipo kundi la Ndoa nyingi zakushinikizwa na wazazi.
"mnazurura kwenye miji ya watu hovyo tu mtajenga lini ya kwenu?" "ukitaka kupiga kelele kajenge kwako!" kauli kama hizi very primitive utaoa/kuolewa bila kupenda.

Hahahahahahahah lol
unavituko wewe
khaaaa embu acha kunichekesha..
hivi ukiambiwa hivyo kweli ndoa ndo solution?
kwanini usiende uni au polytech ukasoma
pata kazi kuwa kwako ...
 
dah.. huwa inatokea mtu! mtu umekaanaye kama g.f.b.f wako kwa muda mrefu.. basi inafika kipindi unahitaji kuwa naye karibu zaidi nafkri the only way ni ndoa

Mmmhhhh ooook
lakini si lazima umuoe mtu ajili
umekaa naye mda mrefu..
But I can see where your comeing from ..
 
wewe hiyo fani ya kuunganisha matukio huna kipaji nayo. Waachie wenyewe fani yao.
Hebu soma vizuri hicho kinachokuchanganya halafu ujipe mwenyewe jibu.
Ahaa ahaa ahaa umeona ehee nakuaminia mama
 
Daahh
sante sana my dear
daahh umenichekesha eti
nataka kuolewa mmmhhh
mmhh mwenzangu mie kuolewa
Daahhh hiyo kitu naogopa
mie mwanaume aki propose na mwacha
tayari wawili mmhhh

Ninaheshimu mawazo na maamuzi yako, lakini usiseme "maji haya siyanywi".
Wakati haujafika tu Dada, ukifika "unaweza ukuoana na wako". Nimetumia neno kuoana kwa sababu kuolewa lina harufu ya kumilikiwa na sikuoni kama uko tayari kufanyiwa hivyo.
 
Ninaheshimu mawazo na maamuzi yako, lakini usiseme "maji haya siyanywi".
Wakati haujafika tu Dada, ukifika "unaweza ukuoana na wako". Nimetumia neno kuoana kwa sababu kuolewa lina harufu ya kumilikiwa na sikuoni kama uko tayari kufanyiwa hivyo.

Nimeona , nimekulia nimeishi
na experience mbaya sana za ndoa
yeah did put me off..
I'm just trying to find myself 1st and gain
confidence....
Saa nyingine wasema siyanywi haya maji
sababu waona ni machafu..
mpaka uyachmshe,yapoe, uyachuje ndo uyanywe..

Thanx
 


Aisee yule binti ulileta habari hapa alikuwa na mimba unaikimbia aliishia wapi? Hii post yako imenikumbusha ile story.
 
Aisee yule binti ulileta habari hapa alikuwa na mimba unaikimbia aliishia wapi? Hii post yako imenikumbusha ile story.

Hahahah hivi kweli
Fidel atakumbuka kweli
mmmhhhh hata mie nasubiri jibu lol
 
Hawezi kumbuka ameishawapa mimba wengine watatu

Hahahahahahahah we TF wewe
khaaaa umenichekesha kwa kweli
Jinsi ulivyosema ni kama vile ulikuwa umesimama
nje ya mlango unawahesabu wakiwa wanatoka chumbani..
laaah unajua kunichekesha kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…