MMmmmh!.......nimeathirika........................ .......

Hehehehehe.... we noma...khaa!

Umenikumbusha nliwahi kudeti kabinti flani hivi wakati tunafanya tabia mbaya kakapiga kelele "Daniel nakuja darling...."......... Huyo daniel sijui ndo nani yailah toba......... Na ndo ukawa mwisho wetu hakyanani.

Babu, heheheheheh..
usikute kalikuwa kanamwita yule wa Biblia..heheheheheh!!!
Aliona mbingu i karibu..lol!
 
Babu, heheheheheh..
usikute kalikuwa kanamwita yule wa Biblia..heheheheheh!!!
Aliona mbingu i karibu..lol!
Basi mzee mzima nilivo na mawivu, nikapiga chini hiyo CRAP!........ Raha nikupe mimi, utukufu apewe mwingine....... wapi na wapi bana?
 


Hili nalo ni neno pia,
thanks, hapa ndo pale tunapotakiwa tukubali mapungufu ya mwenzio na ujaribu kuyaishi................................
 
Labda swali jingine ni muda gani ulipita kati ya mke wa kwanza na huyo wa pili? Na kama kulikuwa na tatizo la namna hii kabla ya kuamua kufunga ndoa?

huyo bwana ni miaka 5 imepita toka amefiwa na mkewe,
na ni miaka 3 toka ameingia kwenye ndoa ya pili,
na hii hali bado inamtokea.....................
 
Hehehehehe.... we noma...khaa!

Umenikumbusha nliwahi kudeti kabinti flani hivi wakati tunafanya tabia mbaya kakapiga kelele "Daniel nakuja darling...."......... Huyo daniel sijui ndo nani yailah toba......... Na ndo ukawa mwisho wetu hakyanani.


bora weye babu umelishuhudia hili enzi hizo ukiwa unafanya tabia mbaya,
sasa huyu mshikaji yupo kwenye ndoa tayari......
hebu msaidie bana, tumia busara yako mzee............
 
Basi mzee mzima nilivo na mawivu, nikapiga chini hiyo CRAP!........ Raha nikupe mimi, utukufu apewe mwingine....... wapi na wapi bana?

heheh..huo haukuwa utukufu...inaonyesha shughuli ya babu ilikuwa nzito bana...Hapo alibakisha kumwomba yule maskini lazaro amdondoshee tone la maji....!hahahaha...
 
bora weye babu umelishuhudia hili enzi hizo ukiwa unafanya tabia mbaya,
sasa huyu mshikaji yupo kwenye ndoa tayari......
hebu msaidie bana, tumia busara yako mzee............

Kusema la ukweli bacha,'
kama mshkaji anaridhika na mkewe pia anaridhika aendelee tu..
Ikiwa ni kwa nia njema, basi yote mema!
Ama na hapo nimekosea tena..
 


okay, sawa Pof. kwahiyo jamaa ajivue gamba sio kwa kuzungumza na wife.........
hopefully siokwa hisani ya watu wa USA lakini................(joke)
 
Kusema la ukweli bacha,'
kama mshkaji anaridhika na mkewe pia anaridhika aendelee tu..
Ikiwa ni kwa nia njema, basi yote mema!
Ama na hapo nimekosea tena..

okay, nadhani upo sawa!!!!
watu wanamshauri ajivue gamba, a ukubali hali iliyopo sasa!!!!!
 
bora weye babu umelishuhudia hili enzi hizo ukiwa unafanya tabia mbaya,
sasa huyu mshikaji yupo kwenye ndoa tayari......
hebu msaidie bana, tumia busara yako mzee............
Mkuu hiyo ni ngumu sana......

Nina rafiki yangu alifiwa na mkewe. Ameoa mke mwingine. Picha kuuuuuuuuuuubwa ya mkewe wa zamani bado iko sebuleni. Mke mpya inamboa sana manake jamaa kila akirudi job lazima aiangalie na kuishika. Tumejaribu kumwambia jamaa aitoe ili asimuumize mke wa sasa jamaa amegoma. Eti yuko tayari mke wa sasa aondoke kuliko kuitoa ile picha pale ukutani.

Haya mambo ya mapenzi ni magumu sana. Inahitaji muda kusahau....kwahiyo huyo bibie avumilie tu, iko siku jamaa atasahau....kungekuwa hakuna kusahau duniani kusingekalika.
 



safi, bora umetupa na uzoefu huu mwingine lol....
picha ya wife wa kwanza ukutani na maisha yanaendelea, kweli kazi ipo!!!!!!!!!
........................time will tell.......................
 
Alionekana kumpenda kwa dhati mke wake wa kwanza, apewe pole.
 
mkuu labda mkewe wa kwanza alikua na kitu mnato.. wa sasa mtera!:dance:
 
In a Nutshell ..
1. He is phycologically damaged ..
2. Needs professional help..
He will never ever move on by himself ..
........ doesn't know how ..!
 
okay, nadhani upo sawa!!!!
watu wanamshauri ajivue gamba, a ukubali hali iliyopo sasa!!!!!

Kujivua gamaba kuna madhara yake,
especially kwa kuwa hawa dada zetu hawatabiriki...
hao wanashauri hivyo wakiassume binti atakuwa muelewa na atampa ushirikiano unaoostahili.
Lakini kuna upande mwingine kwamba demu atajisikiaje...yanaii mimi bado nalinganishwa na marehemu? yani game langu ni ndogo kiasi hicho?
inaweza ikaharibu kabisa...
 

Mmh..babu! Huyu jamaa, unayemwita Jamaa yako am assuming ni agemate wako...
So, sidhani kama nitakuwa nimekosea niki-assume pia kwamba hiyo picha kama si ya kuchorwa kwa mkono
basi walau ni zilee za black n white ...so ina carry kumbukumbu nyingi sana kwake na huwezi kupata nyingine kama hiyo at this tym!
Mwache aiweke kama archive...
 

ina maana akikubali kuzidi kuiweka hiyo picha,
basi akubali na hizo consequences zake.....au sio?
 

Kusema naye inategemea atasemanaye vipi sidhani kuna mtu atakubali ukweli kwamba yeye si bora kama aliyekuwepo.Unless hili tatizo linakua adressed kwa njia nyingine or the situation inaweza kuwa even mbaya zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…