Mmoja afariki kwenye msafara wa Rais Ghana

Mmoja afariki kwenye msafara wa Rais Ghana

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1716214499183.png

ACCRA, Ghana - Mtu mmoja amefariki na wengine kujeruhiwa vibaya baada ya msafara wa Rais Akufo-Addo kupata ajali, akirejea Ikulu ya Accra baada ya kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Ejisu John Kumah.

Ajali hiyo ilitokea katika eneo la Makutano ya Bunso, Mkoa wa Mashariki. Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema, chanzo cha ajali hiyo ni lori lililokatiza msafara huo.

Polisi wamesema, Gari iliyokuwa na Rais Akufo-Addo haikuathirika wakati wa tukio hilo. Maafisa wawili wa usalama wa rais wameripotiwa kuumia zaidi na wamesafirishwa hadi jijini Accra kwa matibabu zaidi.
 
Back
Top Bottom