Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

Duuuu sipati picha pole sana mkuu. Hii kitu kuchapiwa ni noma, inauma kuliko kuchomwa kisu.
 
kwenye shida ndio mnawakumbuka polisi?? Lakn hao ndio tunawau,tunawaita njaa kali,tunawaita mbwa tunawadharau kama hatujui wapo kwa ajili ya nn..... Mm naomba polis walegeze kamba ili ijujlikane mwanaume ni nani na mwanamke ni nan?? Viva majambaz pigen kaz mjin hakuna kizuiz polis wamekata tamaa na mambo wanayofanyiwa na serikali na wananchi. Wapo kwenye mgomo wa kimya

polisi siwapend na sitawapenda,,,
 
Watu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariki papo hapo.
inauma sana
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini na zikionekana zipigwe risasi

Nimepita maeneo ya Airport muda si mrefu nikitokea mjini. Mbele ya Puma Fuel Station nimeona magari mengi yamesimama na kuna mtu anaonekana ama kapata ajali amelala chini au kuna mkasa mwingine. Yaweza kuwa ndiyo incident hiyo?
 
Pole kwa marehemu,tatizo sio pikipiki,hiyo silaha iliyotumika ukiichunguza kwa makini utakuta ni ya jeshi la police-ccm..
 
Kwa kweli inasikitisha sana.Walipora kiasi gani cha fedha?
 
Inasikitisha sana polisi wao kazi yao kukamata machinga tu, pale mataa polisi wana kibanda chao lakini hawana msaada wowote.
usisahau na maonyesho ya kikosi cha mbwa na farasi uwanjani siku za sikukuu za kitaifa.
 
airport kwenye mataa pale si kuna kibanda cha polisi duuuu
 
Inasikitisha sana polisi wao kazi yao kukamata machinga tu, pale mataa polisi wana kibanda chao lakini hawana msaada wowote.
inashughulika na chadema na ukawa tu, nadhani muda umefika tuliunde upya jeshi la polisi liwe linawafanyia wananchi wote kazi

 
Watu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariki papo hapo.
inauma sana
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini na zikionekana zipigwe risasi

Tukio limetokea Kiwalani ambapo wachina 3 ,2 kwenye oppa yao na pesa zao na mwingine kwenye canter.

Ni utaratibu wao kila siku jamaa wakawalea timing wakawazuia mchina mmoja akawa mgumu kuachia fuko la pesa wakampa shaba ya bega akaachia .Hakuna aliepoteza maisha ila kunamajeruhi tu.
 
Kidumu CCM ....oyeee...na bado mtatakata tu....mpaka woga wenu uishe na rangi yenu iwe nyeupe kama mm ndio mtapata mabadiliko bora sisi tuliozamia UK raha tupu...na kesho nairudisha passport lenu
 
Dah aliacha vioo wazi? Tatizo sio piki piki mbona nchi zote kuna hizo mtrbikes? Just police hawafanyi kazi yao

Sio polisi hawafanyi kazi yao wanafanya ila kunamchongo unachongwa kumzunguka mbeba pesa miongoni wa watu wa karibu. Km ni benki mchongo unachongwa ndani ya benki km pesa za kampuni hupelekwa sehemu fulani basi watu ndani ya kampuni hiyo huchonga mchongo huo polisi watajuaje hapa km hakuna wakuwapa taarifa
 
Dah aliacha vioo wazi? Tatizo sio piki piki mbona nchi zote kuna hizo mtrbikes? Just police hawafanyi kazi yao

Mkuu hili ni tatizo, wala hatuhitaji kupingana wala kuwasingizia police. Wote tunajua miundombinu yetu ilivyo, idadi ya pikipiki zilivyo nyingi, idadi ya police ilivyo kidogo na mazingira kwa ujumla. Pikipiki ni tatizo kiusalama kwa mazingira ya nchi yetu
 
Back
Top Bottom