ni gharana kiasi gani utaingia kama ukiamua kuomba askari ili wakusindikize? si zaidi ya elfu hamsini na unakuwa na ulinzi wa uhakika. huu ujinga mwingine wa kuangalia faida tuu bila kutaka matumiziz mazao yake ndo hayo
Watu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariiki papo hapo. Inauma sana.
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini na zikionekana zipigwe risasi.
=========
UPDATE: May 01, 2014
Bahati mbaya siku hizi polisi kwenyewe huko kuna majambazi kibao, ile unaenda tu kutoa taarifa polisi huyo uliyempa taarifa anawataarifu majambazi wenzake au majambazi wake wakae mkao wa kazi.
ziweke mkuu, bado tunazingojeaNi watu wa usalama wamemmaliza...Kuna taarifa nyeti nikiwa tayari ntaziweka hapa
Bahati mbaya siku hizi polisi kwenyewe huko kuna majambazi kibao, ile unaenda tu kutoa taarifa polisi huyo uliyempa taarifa anawataarifu majambazi wenzake au majambazi wake wakae mkao wa kazi.
majambazi hawa ni hatari sana kwa miaka hii ya hivi karibuni aisee...........R.I.P baba wa watuWatu waliokuwa wanatumia pikipiki wamempiga risasi mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari na kumpora begi na kisha kutokomea na pikipiki yao.
Mtu huyo amepigwa risasi na kufariki papo hapo. Inauma sana.
Natamani pikipiki zitolewe kabisa mjini na zikionekana zipigwe risasi.
=========
UPDATE: May 01, 2014
ni pkpk pia ilimsaidia mke wako kwenda kutiwa,so ngoma droo,zikitolewa ntafurah sana,mbona Uingereza hawana bodaboda? Namnukuu kiongoz flan wakat anatetea hoja ya kutooneshwa bunge laiv alisema nchi ye2 tunaiga uingereza,ambako bunge halioneshwi.kama wanaiga huko basi na pkpk zifutwe tuwe kama uingerezaMmh kwangu mimi zimeaaidia mpk nikamfumania mke wangu.. sijaona ubaya wa pikipki
Usalama wa Taifa ishu zao ni nyingi mno, unaweza kuona ameuwawa kwa sababu ya Usalama wa Taifa.!
Kawaida kwa usalama wa taifa kuuwawa unapoenda kinyume na wakubwa
Hawa UWT wamekuwa wakimaliza wenyewe kwa wenyewe, sijui huwa wanazungukana?
===================================================================================================Ni watu wa usalama wamemmaliza...Kuna taarifa nyeti nikiwa tayari ntaziweka hapa
Sasa kutakuwa na polisi kila kilomita ya mtaa? Tukio lilikuwa barabarani magari yakitembea. Hao polisi unataka wafanyaje kazi ambazo unasema kwa sasa hawazifanyi?Dah aliacha vioo wazi? Tatizo sio piki piki mbona nchi zote kuna hizo mtrbikes? Just police hawafanyi kazi yao