Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 635
Na wale walioompiga ni mashuhuda pia?
Long time MM hopefully you are fine bro!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wale walioompiga ni mashuhuda pia?
I can smell something fishy here!!!
Alyaua ni mmoja tu ambaye alifyatua hilo bomu na wengine wote walikuwa mashuhuda.
Na wale walioompiga ni mashuhuda pia?
Kisheria ukitumia Penal Code ni kosa hata kupiga, ina maana hawa polisi wengine wako sahihi kwa kumpiga Mwangosi?
Kaka mnheshimiwa sana msomi wa sheria mimi sio mwanasheria lkini ninaomba tuu nichangie maoni yako kwa upeo wangu finyu.inamaana kama huyo polisi aliyeua hakupewa amri yoyote na mtu yoyote na alikurupuka mwenyewe gafla na hata kumvunja miguu kiongozi wake basi na hao wengine ambao hawakuwa na malise basi na wao waunganishwe tuu kwa sababu walikuwepo eneo la tukio?au hiyo doctine of common intention inamaanisha kwamba ukiwepo tuu eneo la tukio basi umeshiriki kosa hata kama ulikuwa unafanya jitihada za kuzuia kile kilichotokea kama ilivyotokea kwa hoyo kiongozi wao wao ambaye naye alivujwa miguu na bomu hilo na askari wote wakabaki wameshikwa na bumbuwazi wasijue na lakufanya huku wkimlaumu aliyefyatua bomu hilo?.ni mapema mno kujua kilichotokea kwa askari huyo na labda hata sasa hivi ukimuuliza kwa nini alimfyatulia bomu hilo hawezi kueleza vizuri ila anachokijua kuwa alivyatua bomu,labda alipatwa kichaaa cha gafla,labda alishika trigger kwa bahati mbaya,labda alipigwa jiwe akili ikahama gafla, je kama ndivyo basi askari wote waliokuwepo basi waunganishwe kwa sababu kuna doctrine of common intention.let us not be bias to that extentDo the State Attorney in charge of Iringa and the Prosecutors know 'the doctrine of common intention?' Under the doctrine all police officers present at the scene when Mwangosi was killed should have been charged for murder and conspiracy to commit an offence ie murder. Even if the 'accused' confessed, all evidences, photos and testimonies of people present show that other police officers were beating Mwangosi shortly before he was killed, in fact the RPC consented as he did not stoped the beating. To let other police officers walk free without charging them even for causing grievous bodily harm is a mockery to the family of the deceased, general public and to the legal profession.
kapelekwa mahakamani ili kuzuia wadau mbali mbali wasijadili hi ishu kwa kina.