Mmoja wa watangaza nia ataleta ushoga

Mmoja wa watangaza nia ataleta ushoga

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Tahadhari kwenu, kuelekea ''new world order''
Baadhi ya viongozi tayari wameshapokea masharti ya namna ya kuiongoza Tanzania kutoka kwa wenye nchi.

Sharti jipya ni kuhalalisha ushoga tanzania pamoja na ndoa za jinsia moja.
Kazi kwenu wapiga kura. Mwenye uelekeo huo hata wewe unamjua.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Arusha. Yaani Magoma ana dalili zote. Nadhani hata hicho cheo alipewa kwa sababu hiyo
 
How dare you post stupid udaku like this to JAMII INTELLIGENCE?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mbona kilishasaini huu mkataba na wakapewa magari 100 ya M4C - mengi yamechukuliwa na Lema na Mbowe. Na zaidi sana fedha zao wanazopewa ulaya zina mrengo huu.
 
kiongozi yeyote anaepewa hela za kufanyia kampeini na uingereza lzn baadae alete miswada ya ushoga,
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mbona kilishasaini huu mkataba na wakapewa magari 100 ya M4C - mengi yamechukuliwa na Lema na Mbowe. Lakini fedha zao wanazopewa ulaya zina mrengo huu.

mbona tunajua tena wanapewa hela na chama cha uingerza ambacho kilitaka tukubaliane na miswada ya ushoga tulipokata wakatoa hela zao katk kufadhiri bodi ya mikopo, na sasahv ameenda kuchukua nyingine na kusain makubaliano,
 
How dare you post stupid udaku like this to JAMII INTELLIGENCE?

Ukianza kupiga vita hii post utakuja shangaa ushoga uko mlangoni mwako.
Unless na wewe ni stakeholder kwenye hiyo agenda.
Hii ni ishu ya msingi kuizungumzia mapema sana ili tuwajue mapemaaaaaaaaaa
 
Lowasa anakatiwa mipunga ya nguvu na wajerumani(waliberali)
 
Back
Top Bottom