The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Soulmate anajifanya naye Kanumba siku hiziAsije akatoa movie ya ile story yangu ileeeeeee, nitaachika, lakini atleast ninae soulmate kanipenda hivohivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soulmate anajifanya naye Kanumba siku hiziAsije akatoa movie ya ile story yangu ileeeeeee, nitaachika, lakini atleast ninae soulmate kanipenda hivohivo
Unaona utaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamuu!!Sasa mbona unacheka afu hujanigongea kale ka-apetaiza kanakoitwa LIKE? Hebu ka-do ze needful bana.
Si anataka awe star na yeye aende bba,Soulmate anajifanya naye Kanumba siku hizi
1. Asprin - Huyu anacheza scene za ukabaji na wizi
2. Gaga - Huyu anacheza scene za kukwiba soulmate
3. Blaki Womani aka Yuu - Huyu anacheza scene za mamakubwa
Wewe scene za Upedeshee zinakufaa sana, Papaa Mentorwati abauti mi?
Najaribu kupiga picha huyu mzee yuko BBA hahahahaSi anataka awe star na yeye aende bba,
We utacheza movie ya yesu wa kiafrika, hiyo avatar yako inafaa sanawati abauti mi?
Hivi kwa nn waasianzishe bba ya wamama na wababa walio kwenye ndoaNajaribu kupiga picha huyu mzee yuko BBA hahahaha
Hahaha!! Tema mate chini kwanzaHivi kwa nn waasianzishe bba ya wamama na wababa walio kwenye ndoa
zawadi wanapewa a dream home
Mate ya nini sasa TFHahaha!! Tema mate chini kwanza
Watu wanaweza kujisahau na kutoa siri za waume na wake zaoMate ya nini sasa TF
Katika hiyo dedikesheni, usisahau kumtaja Babu mpenda maujiko Asprin a.k.a ODM. Vinginevyo haitauza sana.
Kila la kheri.
Soulmate asinisahau na mimi Gaga, mamaa wa mashauzi kama yule muimba taarab
Tutoe mara ngapi sasa, si ndio maana nasem a akitoa muvi ya stori yangu itakuwa sooWatu wanaweza kujisahau na kutoa siri za waume na wake zao
Beki tatu mwenye mtoto wa miaka mitano?kweli JF burudani watu wamepinda lol...
Naomba na mie asisahau kuniweka kwenye script yake kama beki tatu
Soulmate............ una lengo la kuniliza wivu siyo?Hivi kwa nn waasianzishe bba ya wamama na wababa walio kwenye ndoa
zawadi wanapewa a dream home
hakuna kunakuwa kuna sheria kali, na hakuna mtu kugusa kitanda cha opposite sex, ukivunja sheria mnatolewaSoulmate............ una lengo la kuniliza wivu siyo?
director1 yupo humuhumu atawafaa sanaNaomba nitafutiwe scene yangu na Blaki Womani peke yetu, scene hii isiingiliane na scene ya Gaga na Asprin.
Hivi Director wa movie atakuwa nani tena???