MMU special offer

Lol......


:lol::lol::eyebrows:


Unajua hizi PM huwa zinachanganyikiwa saa zingine unaweza kushtukia badala ya kuja kwako imeenda kwa PAW au imeenda kwenye ki-button cha REPORT ABUSE, masaa mawili tukutane Holiday Inn


Hayaaa.....Bishanga
watu wengine bana,mi namtafutia mke mwema Husninyo yeye anakimbilia kwa Bebii mke wa mtu,utajiju harrrrooo.
 
aiyaaa????????? Mbona unanitafutia ban we mwanamke mwenzangu ? Una maana gani kuniuliza ivyo?

Dada Bebii kuuliza si ujinga unajua sometimes mtu unaweza ukauziwa mbuzi kwenye gunia atii.
 
oooh!!!! sasa bebii my dear ukisha fanya soting,nitumie hayo ma cv na mapicha na mm nijitaftie wakwangu!!
 
oooh!!!! Sasa bebii my dear ukisha fanya soting,nitumie hayo ma cv na mapicha na mm nijitaftie wakwangu!!
achana na lizzy huyo amekosa watalii wa kukaba uko unga ltd na gongo za matejoo zinamchanganya
 
Mimi nitakuja la late application,

Najua kwa vile unatupenda basi utakuwa fexible!!

Nitatuma kabla ya kulala!

Babu DC!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…