MMU thread ya kufungia mwaka

hahahahaaa kongosho......... mbavu sina mie! Kwani tunaombewa tukiwa chemba? Heheh
we hulijui kanisa la TF? Shurti kujifungia chumbani na kuvua blaus!
 
Aisee ndio naona hii kitu! Huku kwa wabeba maboksi kunanifanya niwe mbali na nambo ya muhimu kama haya!! Bishanga..umesahau role yangu hapo..
role gani Rejao zaidi ya kuwa shahidi Mkuu?
 
Hii haina ubishi, Udaku sio sredi ya mwaka tu bali ni sredi ya historia ya JF.
Bisheni

uzuri wa ile thread ya udaku to me ni kwamba ilionyesha ni kwa jinsi gani jf imefanikiwa kutuunganisha though at cyber level kiasi kwamba we know a thing or two about each other,nakuunga mkono Mkuu.
 
Naona Bishanga hapa unakuwa catalyst!!

unajua hapa Kongosho katoa tuhuma nzito sana dhidi yako na TF,anasema kuna kitu huwa mnavutia toilet,just imagine! Ndo mana maombezi muhimu.
Ujue jana ulifanyiwa maombi kuomba mpua wako usidondoke.
 
jamani Rejao Eliza ni mdada bana,mi namjua ndani nje,au nikuletee kwa PM picha zake akiwa sehem sehem?
Aisee utakuwa umefanya la maana sana..mimi iko zimikia sana Eliza wa tegeta. Kwa mantinki hii unamaanisha Kogosho ni kidume?
 
unajua hapa Kongosho katoa tuhuma nzito sana dhidi yako na TF,anasema kuna kitu huwa mnavutia toilet,just imagine! Ndo mana maombezi muhimu.
Ujue jana ulifanyiwa maombi kuomba mpua wako usidondoke.
Mimi na TF tayari tumeshamuundia Kongosho tume..soon majibu tutayamwaga hapa. Kama una moyo mwepesi itabidi usilifungue hilo lisredi!
 
ahahhahah, yangu macho. leteni jukwaani tutajipinda kuchangia kwa kuunda tume.
 
Good morning wana JF....

@B' Jana ulilewa saana, vipi ulijitambua? Ilibidi niokoe jahazi maana vijana wa nyuma na maadili ya jamii yetu walikua wanakuangalia vibaya.....lol
 
Habari za asubuhi wapendwa katika bwana naendelea kufunga na kuomba kwa ajili ya kondoo wa JF waliopotea njia tulikuwa kwenye mkesha wa maombi yale mapepo sugu yaliyokuwa yakiwaandama Bishanga, Kongosho, Sweetlady yametoka baada ya mtumishi Husninyo kufanya maombezi yenye nguvu na upako wa ajabu uliokuwa na moto ndani yake...

Msisahau kuja kupata maombezi njooni mfanyiwe maombi
 

Yaani Bishanga Bwana next year nitakuombea upate upako wa roho mtakatifu
Ili tukifungua kila Sread yako tunakutana na vifungu vya Bible
 
Jamani Leo ni tarehe 16-12-2011 hiyo sread ya kufungia mwaka bado haijapatikana tu?
 
Bwana apewe sifa....


Aleluyaaaaa!!!
 
Good morning wana JF....

@B' Jana ulilewa saana, vipi ulijitambua? Ilibidi niokoe jahazi maana vijana wa nyuma na maadili ya jamii yetu walikua wanakuangalia vibaya.....lol
G'morning too switie wifi.....



Yaan we acha tu, Bishanga jana alichanganya viroba na bange ati, ashukuru mungu uliokoa jahazi vinginevyo angejibeiba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…