Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
He he he he, naona umerudi kundini kuanzia kiunoni kwenda juu
huku kwengine naamini tunaweza endelea na mazungumzo yetu ya memorandam of understanding
huku kwengine naamini tunaweza endelea na mazungumzo yetu ya memorandam of understanding
Mungu Baba mbariki na Kongosho aweze kuenenda kwenye njia zisizo na maovu muongoze mbariki mtie nguvu ili aweze kusimama imara na asianguke kwenye mitego ya shetani