MMU week hii dah!!

ndoa za siku hizi utata mtupu hakuna mwoaji wala muolewaji mtu anataka kuonekana kaoa/kuolewa basi
 
Kati ya hizo thread tano unaweza kukuta thread tatu ndio zina mantiki zingine waweza kukuta ni za kutunga na magumashi tu.
 
Kama mziki tu, nitoke vp
 
tatizo lako na wewe Fidel80 bwana hauko serious ndo maana kakukimbia ..wewe anaomba hela ya lotion unamwambia kuna hela ulimkopesha St .RR unaifatilia ndo umletee wapi na wapi ...

Hihihihihi umenichekesha yy kipato chake kipo juu atanipigaje mzinga jamani.
 
mtu anakaa na kufikiriiiii namna ya kuanzisha thread......anatunga na kuiweka hapa...ikipata wachangiaji wengi..kesho tena anakaa na kufikiriiii anatunga nyingine anaitupia hapa....kazi kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…