Maana yake unajipendekeza kwake, yeye hana mpango. Halafu Interview Vingunguti...Nilitumia wakala na ni toka jana .
Pole bro, achana nae uwe unantumia mimi nna shukuru......kwanza uko wapi.Nili tumia wakala
Ahahahah kwanini..Interview Vingungutiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka hadi machozii, khaaaah
Hapa ndipo ukweli ulipo, japo mchungu sana.Huenda Aliomba watu wengi na miamala ikaingia Sasa anashindwa amwambie nani ASante anasubiri umuulize ww kama ameipata...stuka😂😂
Vingunguti? Interview ya kazi machinjoni au?Ahahahah kwanini..
Kwani vingunguti kuna nini ...
[emoji23][emoji23] kuna nini mkuu au ni pori sijawahi fika ukoInterview Vingungutiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka hadi machozii, khaaaah
M ndo nakwambia na mm ni shuhuda 😅😅..Kuna siku nimewaomba watu elfu 10 Kama watano hivi...basi bwana nkawa nimepokea miamala mi 3 kutoka kwa wakala..nkawa najiuliza nani katuma ikabidi ni mute...yule main Sasa akaniuliza vipi ela umeipata..nkamwambia ndio nimepata ...kumbe alikuwa hajatuma..bauana...acha niaibike😅😅😅Ukweli mchungu [emoji23][emoji23]
Una taka kuniongezea machungu mkuuPole bro, achana nae uwe unantumia mimi nna shukuru......kwanza uko wapi.
Ahahahahaha tuache na vingunguti yetu...Vingunguti? Interview ya kazi machinjoni au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah bas tyuuh[emoji23][emoji23] kuna nini mkuu au ni pori sijawahi fika uko
Yes yes yesHuenda Aliomba watu wengi na miamala ikaingia Sasa anashindwa amwambie nani ASante anasubiri umuulize ww kama ameipata...stuka😂😂
Nipe namba yako ya simuRudisha muamala, ntumie mie ntakushukuru hadi uone kero.....
Feedback si kula buyuuuu mkuuuInabidi mtu atoe feedback kama wakati anaomba na wakati ana pewa sio una kaa kimya .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mkavuu anajibu "vingunguti"Ahahahahaha tuache na vingunguti yetu...
[emoji28][emoji28]inabidi mbadilike mtakosa vizuri zaidiM ndo nakwambia na mm ni shuhuda [emoji28][emoji28]..Kuna siku nimewaomba watu elfu 10 Kama watano hivi...basi bwana nkawa nimepokea miamala mi 3 kutoka kwa wakala..nkawa najiuliza nani katuma ikabidi ni mute...yule main Sasa akaniuliza vipi ela umeipata..nkamwambia ndio nimepata ...kumbe alikuwa hajatuma..bauana...acha niaibike[emoji28][emoji28][emoji28]
Mr pole😂😂Pole sana mkuu
Sema kutuma pesa kipaji ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mkavuu anajibu "vingunguti"
Nyie kuna watu wakaksiii, akhiiiii.
Nsha (ga) acha ulkuwa utoto ule now napewa na Halali wangu pia natafuta mwenyewe...[emoji28][emoji28]inabidi mbadilike mtakosa vizuri zaidi