Mna deal vipi na mtu unae mtumia hela afu asemi Asante au kama kaipata

Mna deal vipi na mtu unae mtumia hela afu asemi Asante au kama kaipata

unavyo omba kitu kwa kujielezea na unapo pewa kisha una potea kimya ndo tabia gani ? ..wengine tuna penda feedback ili kama isipo kutosha iwe rahisi kukuongezea na tujue kama ume fanikisha wala sio roho mbaya



Kusaidia ni Kama upendo vyote ni uwezo

Ukiona unampenda MTU ili na yeye akupende basi wewe unakuwa haujawa na uwezo wa kupenda Ila unajilazimisha .


The same ukiwa unatoa na kumpa MTU kitu ukiona unasubiri mrejesho wakuambiwa Asante basi ujue haujafika viwango vya kutoa au kusaidia.
 
unavyo omba kitu kwa kujielezea na unapo pewa kisha una potea kimya ndo tabia gani ? ..wengine tuna penda feedback ili kama isipo kutosha iwe rahisi kukuongezea na tujue kama ume fanikisha wala sio roho mbaya
Sasa akikaa kimya si ndiyo imemtosha?

Isipomtosha si atakuambia?

Sema tu unapenda shukurani na kuabudiwa kwa sababu umesaidia na hujasaidia ili kusaidia tu.

Waswahili walisema "Tenda wema wende zako, usingoje shukurani".

Hujaelewa wapi hapo?
 
nishawahi kumtumia single maza mmoja kitita cha Tsh elfu tano, halafu akakaa kimya masaa manne hivi..

nilichofanya nikawapigia voda wakarudisha muamala.

Baadae ndio sms ya malalamiko kwamba nimerudisha hela😅😅😅
Sasa wewe ulisaidia ili usaidie au ulisaidia ili uabudiwe?
 
Kuna watu wengine wanaona aibu sana kuwa wanahitaji msaada.

Kitendo cha kukuomba msaada tu, wao wanaona ni kitendo cha aibu.

Mazungumzo yoyote yanayohusiana na huo msaada, ni kitu cha aibu kwao.

Wewe kutaja kwamba umewasaidia, kwao ni jambo la aibu.

Pengine hata wao kuwashukuru baada ya kusaidiwa, wanaona ninjambo la aibu.

Mkiombaomba kushukuriwashukuriwa sana baada ya kuasaidia mnawaongezea stress na trauma.

Mnaelewa hili?
 
M ndo nakwambia na mm ni shuhuda 😅😅..Kuna siku nimewaomba watu elfu 10 Kama watano hivi...basi bwana nkawa nimepokea miamala mi 3 kutoka kwa wakala..nkawa najiuliza nani katuma ikabidi ni mute...yule main Sasa akaniuliza vipi ela umeipata..nkamwambia ndio nimepata ...kumbe alikuwa hajatuma..bauana...acha niaibike😅😅😅
Uliweka mitego kote kote?? Wewe ni mtu hatari sana.....Ulitakiwa professionally uwe Mvuvi
 
Kuna watu wengine wanaona aibu sana kuwa wanahitaji msaada.

Kitendo cha kukuomba msaada tu, wao wanaona ni kitendo cha aibu.

Mazungumzo yoyote yanayohusiana na huo msaada, ni kitu cha aibu kwao.

Wewe kutaja kwamba umewasaidia, kwao ni jambo la aibu.

Pengine hata wao kuwashukuru baada ya kusaidiwa, wanaona ninjambo la aibu.

Mkiombaomba kushukuriwashukuriwa sana baada ya kuasaidia mnawaongezea stress na trauma.

Mnaelewa hili?
Sawa agnostic
 
Huenda Aliomba watu wengi na miamala ikaingia Sasa anashindwa amwambie nani ASante anasubiri umuulize ww kama ameipata...stuka😂😂
Point imeishia hapa.

Niliwahi kumuacha binti mmoja kwa ziara ya kushtukiza kwa kisa cha akiomba pesa ukamtumia yaani mpaka umpigie simu umuulize kama kaipata.

Baadae nilikuja kujua anawaomba wengi na anashindwa kutambua aliyetuma,hivyo nilisitisha huduma zote
 
Usimtumie tena na futa namba ake endelea na maisha binadam ni wengi utapata wengine wenye sjui ran
 
Hatariiiiii 😂
Point imeishia hapa.

Niliwahi kumuacha binti mmoja kwa ziara ya kushtukiza kwa kisa cha akiomba pesa ukamtumia yaani mpaka umpigie simu umuulize kama kaipata.

Baadae nilikuja kujua anawaomba wengi na anashindwa kutambua aliyetuma,hivyo nilisitisha huduma zote
A
 
Back
Top Bottom