Mna deal vipi na mtu unae mtumia hela afu asemi Asante au kama kaipata

Sema kutuma pesa kipaji ..
Alafu wadada huwa wanamkadiria mtu kmmke....

Wakikuona mwenzangu na mimi bwege unatolewa tuu kwa sababu za kijinga jinga...

Sasa kazi ya mama uji ina haja ya interview jamn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had mbavu zinaumaa,
Mama ntilie, interview wanayoo na wanatamba nayoo.

Wee huogopiiii? Woiiiiih
 
Mwaka juzi 2022 Kuna demu aliniomba 100k ili asolve msala fulani polisi,basi Mimi nikampigia agent wangu kuwa atumbukize 100k kwenye namba ambayo nilimtumia ya yule demu.

Kisha agent akanitaarifu kuwa kasharekebisha Kila kitu kipo good, after 2 hours demu ananipigia simu akiuliza vipi mbona kimya? Yaani hakuona muamala, ikabidi nikate simu na kumpigia yule agent kuwa muamala mbona haujafika?

Wakala akaona isiwe tabu ndani ya dakika tano akaja na simu mpaka home ikionesha pesa katuma kwa jina lilelile na muda aliotuma ni uleule,

Nikiwa nawaza nafanyaje mbona sielewi yule demu baada ya muda akanipigia na kuniambia kuwa Ile pesa ni kweli ilifika na akachomoa mzigo fasta kwani alijua labda Kuna mtu alikosea namba na kuniambia pesa katumia kwa vitu vingine tu na msala uko pale pale


Maswali ya kujiuliza,

Unatoaje pesa si yako?
 
Kuna hii tabia mtu ana omba pesa .una mtumia kupitia kwa wakala afu hasemi kama kaipata wala hasemi Asante.
Yani ana kaa kimya kabsa kama amna kilichotokea na wakati yupo hewani

Binafsi ina ni kwaza ..nawasilisha

View attachment 3065278
Kwahiyo hapa wewe kinachokuuma ni kipi mkuu? Kutokuambiwa asante au kutokupewa feedback? Maana kwenye asante wengine wanashukuru rohoni tena kwa kumaanisha na kwenye feedback before hujamtumia alikuambia jina linalokuja wakati wa kutuma na wewe ulithibitisha so uhakika unao kwamba pesa imefika.

To me huyo jamaa yuko matured sana Maana kushukuru shukuru sana nako ni ishara ya udhaifu.
 
Kumsaidia MTU
Kumfurahisha MTU
Kutoa kwa MTU


Anayefaidika na haya mambo matatu hapo juu ni mtoaji aliyetoa .

Neno Asante au nimepata linaweza lisiwe na umuhimu kwako mtoaji Ila nature inatambua na malipo yako utayapata VIZURI.

Endelea kuwa na helping hand kikubwa hakikisha katika kutoa kwako hauathirikiki kwa namna yoyote.


Pia kutoa kitu huku unasubiri Asante inaweza kukuumiza maana watu wengine hawajui kuomba Ila wanajua kushukuru na wengine wanajua kuomba Ila hawajui kushukuru.


So usirudishe huo muamala hauwezi kujua kipi kipo nyuma ya hela yako.



Pia fahamu tu kuwa katika kipato chako kuna riziki za WATU hivyo ni vizuri kuwa na nidhamu ya PESA Ila sio vizuri kuwa BAHILI.
 
Kuna hii tabia mtu ana omba pesa .una mtumia kupitia kwa wakala afu hasemi kama kaipata wala hasemi Asante.
Yani ana kaa kimya kabsa kama amna kilichotokea na wakati yupo hewani

Binafsi ina ni kwaza ..nawasilisha

View attachment 3065278
Kwani muamala haukupi confirmation kwamba hela imefika?

Asipokupa asante unapungukiwa na kitu? Unamsaidia mtu ili akupe asante?
 
Hawa ni sawa na matapeli
 
Ndo maana kwa swala sensitive kama ilo sikutaka kuhoji sana .ila nimeona ni ka.a tabia inayo mshushia mtu kusaidika kwa haraka tena.
 
Kuna hii tabia mtu ana omba pesa .una mtumia kupitia kwa wakala afu hasemi kama kaipata wala hasemi Asante.
Yani ana kaa kimya kabsa kama amna kilichotokea na wakati yupo hewani

Binafsi ina ni kwaza ..nawasilisha

View attachment 3065278
Ukituma hela kwa wakala kama kaomba watu wengi hawezi jua nani kamtumia pesa, hivyo itabidi akusikilizie
 
Wapuuzi sana... Naanza kuwatrack ukinletea tabia hizi next time sijibu sms ya ombi la msaada
 
Kwani muamala haukupi confirmation kwamba hela imefika?

Asipokupa asante unapungukiwa na kitu? Unamsaidia mtu ili akupe asante?
unavyo omba kitu kwa kujielezea na unapo pewa kisha una potea kimya ndo tabia gani ? ..wengine tuna penda feedback ili kama isipo kutosha iwe rahisi kukuongezea na tujue kama ume fanikisha wala sio roho mbaya
 
nishawahi kumtumia single maza mmoja kitita cha Tsh elfu tano, halafu akakaa kimya masaa manne hivi..

nilichofanya nikawapigia voda wakarudisha muamala.

Baadae ndio sms ya malalamiko kwamba nimerudisha hela😅😅😅
 
Ndo maana kwa swala sensitive kama ilo sikutaka kuhoji sana .ila nimeona ni ka.a tabia inayo mshushia mtu kusaidika kwa haraka tena.


Katika kipato cha MTU huwa kuna riziki za WATU hivyo tunabidi kuwa na nidhamu ya PESA na sio kuwa BAHILI au wachoyo.


Cheer up with everybody Asante ni neno dogo Ila huwa linawashinda watu wengi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…