Kampuni za machinjio, migahawa, na bodaboda.Hahaha, hujui vingunguti Kuna kampuni nyingi ?
KweliHuenda Aliomba watu wengi na miamala ikaingia Sasa anashindwa amwambie nani ASante anasubiri umuulize ww kama ameipata...stuka😂😂
Kuna hii tabia mtu ana omba pesa .una mtumia kupitia kwa wakala afu hasemi kama kaipata wala hasemi Asante.
Yani ana kaa kimya kabsa kama amna kilichotokea na wakati yupo hewani
Amini nakwambia...😅😅Kweli
Inatokea sana kwa wanawake hii, nilishasoma trend
Nina allergy sana na mwandiko wa maneno nusu nusu, sijui kwa nini.Kuna hii tabia mtu ana omba pesa .una mtumia kupitia kwa wakala afu hasemi kama kaipata wala hasemi Asante.
Yani ana kaa kimya kabsa kama amna kilichotokea na wakati yupo hewani
Binafsi ina ni kwaza ..nawasilisha
View attachment 3065278
Asante siyo lazima, lakini atoe taarifa kuwa pesa imefika kusudi mtu aliyetuma pesa hiyo asiwe na wasiwasi kuwa imechukuliwa na mtu asiyehusika.Asante ya nini mkuu
Hapo umemuonea, labda amepiga kibomu sehemu kadhaa, atashindwa kujua nani katuma"una mtumia kupitia kwa wakala afu hasemi kama kaipata"
Unakuta mtu kabunda tu, wanazingua sana.
Ukiamua kutuma pesa, wewe tuma tu, acha makasiriko na kujilizaliza.Kuna hii tabia mtu ana omba pesa .una mtumia kupitia kwa wakala afu hasemi kama kaipata wala hasemi Asante.
Yani ana kaa kimya kabsa kama amna kilichotokea na wakati yupo hewani
Binafsi ina ni kwaza ..nawasilisha
View attachment 3065278
Mzee uko serious!!? kwenye hela watoe waweke ela 🤣😂Mods naomba medite kwenye Hela muweke ela ...error
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣watu wamevurugwa jamaniMzee uko serious kwenye hela watoe waweke ela 🤣😂
[emoji23][emoji23]Mzee uko serious kwenye hela watoe waweke ela [emoji1787][emoji23]
Sasa ulimpa nini? Malipo ya ngono?wapi nimeandika kwamba nimemsaidia? we mzee punguza judgement