Dume Jembe
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 333
- 411
nilkua sija waza hili hasemi kiwango anacho itaji ana subiri ujimalize .hawa ni matapeliMwanamke anayeomba fedha umtumie ukimuuliza kiasi anasema chochote ni hatari kwa afya yako , jua kuna kadirio lake usipolifikia hawezi kukushukuru wala kusema ameipata cha msingi ni kuacha kumtumia kama siyo mkeo
Sawa mkuuAchana nae usimtumie tena achana na kutafuta namna ya kudeal nae
Hawezi mtu akaomba nauli anajua kabisa kwenda na kirudi let sayi elfu kumi hajanya chai na maji hajanywa harafu akuambie chochote 🤣 anajua hali yako haiendani na mahitaji yake ya juu hivo akikuambia kiasi hajui kama utaweza hivyo atakupoteza wakati hana mtu ambaye ni mia moja wa kutimiza mahitaji yakenilkua sija waza hili hasemi kiwango anacho itaji ana subiri ujimalize .hawa ni matapeli
nilkua sija waza hili hasemi kiwango anacho itaji ana subiri ujimalize .hawa ni matapeli
Anaweza pia kuwablock kama hataki kuwasaidia bila kuabudiwa.Wazoee tu ,wengi wakiwa na shida atapiga simu hadi 100 kuulizia vipi ushatuma ,ushatuma ,ushatuma ,lakini ukishatuma hasemi kama kaipata wewe utaona tu simu hazipigwi.
kumbe wewe ulituma ela na siyo hela, ndo maana hakusema ahsante mkuu.Mods naomba medite kwenye Hela muweke ela ...error
Unapewa ulicho omba uki zidishiwa utazoea .afu ata iyo 10k unayo dharau asinge omba kama anayoUtakuta muamala wenyewe wa elfu 10 kelele kibao.
Jaribu kumtumia muamala ulioshiba km hajafunga safari akufate kukupa ahsante live.!
tatizo kubwa ni malezi mabovuMalezi au nyodo au kakushika masikio au...
Possibly huo mzinga wa nauli kapiga kwa watu wengi kwaiyo iyo text ya muhamala kutoka kwa wakala hajui ni hela ambayo imetumwa na nani sasa akikosea akasema asante kwa ambae hajamtumia maana yake mpango umealibika..Kuna hii tabia mtu ana omba pesa .una mtumia kupitia kwa wakala afu hasemi kama kaipata wala hasemi Asante.
Yani ana kaa kimya kabsa kama amna kilichotokea na wakati yupo hewani
Binafsi ina ni kwaza ..nawasilisha
View attachment 3065278
Kwa Mama sawa alivyokusomesha mpaka kufika hapo ulipo ulimpa AsanteTabia hii anayo mama yangu. Hata umtumie milioni anakausha wala hakuambii kama imemfikia. Tumeshamzoea. Kwahyo kuna watu wa namnq hiyo wazoee tu!
Thamani ya Mama unaweza kuifananisha na mtu mwingine yoyote? Mama yako ana haki hata asiposema Asante cos niwajibu wako wewe kumtunza maana bila yeye wewe usingeweza kufika hapo ulipo na wala katika malezi yako yote hujawahi kumwambia AsanteHii tabia anayo mama yangu tunaenda nae hivo hivo tu na uzee wake
Hata hiyo elfu 10 ni hela ili iwe laki lazima elfu 10 iwepo tuache dharauUtakuta muamala wenyewe wa elfu 10 kelele kibao.
Jaribu kumtumia muamala ulioshiba km hajafunga safari akufate kukupa ahsante live.!
Kabisa kabisatatizo kubwa ni malezi mabovu
ukiona mtu neno asante na samahani ni gumu kumtoka jua malezi kwake ni tatizoKabisa kabisa
bila shaka hapa auBaba,nataka tuongee kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa hatareeee.Utakuta muamala wenyewe wa elfu 10 kelele kibao.
Jaribu kumtumia muamala ulioshiba km hajafunga safari akufate kukupa ahsante live.!