Mkuu labda mie sielewi kwamba mabeberu wanapigana na mabeberu wenzao ama waafrika? Sababu nachojua huko tyr kuna kampuni za magharibi zinachimba rasilimali sasa kwanini tena watumie waasi wkt wameshamilikishwa madini?
Unajua hata DRC wanasemaga mabeberu yanaleta vita ili wapore madini lakini cha kushangaza hata maeneo walipoondoa waasi mfano then- Katanga province walipoondoa waasi bado wenye mkataba wa kuchimba walikuwa Total!! Same to Cabinda walitimua waasi ila bado wanaochimba off shore mafuta ni mabeberu!!
So mnaposema mabeberu wanaleta vita ili wachimbe almasi naomba mtusaidie je kukiwa na amani kma Tanzania ni nani anayechimba madini tena kwa mikataba ya kiwizi kabisa? Ama kukiwa na vita inawaongezea nni ambacho wanakikosa kukiwa na amani?
Cc
Gerald .M Magembe