Mna Safari Ndefu Sana Kama Mmetoa Sare Na Kikosi cha Pili Cha Ismaily SC

Mna Safari Ndefu Sana Kama Mmetoa Sare Na Kikosi cha Pili Cha Ismaily SC

Mabingwa wa south Africa Mamelodi wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Congo TP mazembe wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Morocco Raja Casablanca wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Zambia red arrows wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Champions league Wydad wako nyumbani kwao

Mabingwa wa confederation Berkane wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Tanzania Yanga wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Mapinduzi cup wako Misri

- ENDELEENI KUDANGA
😬😬😬 Daaah haya yote kayaleta john boko kwa kukosa magoli last season
 
Mabingwa wa south Africa Mamelodi wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Congo TP mazembe wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Morocco Raja Casablanca wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Zambia red arrows wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Champions league Wydad wako nyumbani kwao

Mabingwa wa confederation Berkane wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Tanzania Yanga wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Mapinduzi cup wako Misri

- ENDELEENI KUDANGA
Umeshasahau kuwa timu ulizozitajwa hapo zipo top 20 Africa... Nyie mnajifananisha hapo wakati Yanga mko wa 80 Africa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... Inasikitisha sana
 
the scientific study of functions and mechanics in a living system.As a subdiscipline of biology, physiology focuses on how organism, organ system, individual organs, cells, and bio molecules carry out the chemical and physical functions in a living system
the movement of oxygen from the outside environment to the cells within tissue, and the removal of carbon dioxide in the opposite direction that's to the environment.

Au umesahau kama timu yenu ilisajili mtaalaum wa masuala ya respiratory process na akafukuzwa kabla ya msimu kuisha

Na timu yenu uwanjani wachezaji wengi hawana pumzi ya kucheza dakika 90

Katafuteni haraka huyo mtaalamu wa physiology (Respiration)

NB:Never take anything seriously in this platform
Anonymous isikufanye ukajiona bora sana kuliko wengine humu ndani
Usipanick, twende taratibu tu mwisho wa siku utakuja kuelewa context ya swali langu. Ofcourse unless you don't wan't to be ignored, we've to consider anything you acomment on academical issues as a seruous phenomena.

Haya nitajie jina la huyo mtaalamu wa physiology aliyepo Yanga Sc..."mtaalamu wa physiology" , na mimi nikutajie la yule aliyepo Simba Sc , halafu unambie hizo habari za kwamba Simba Sc umezitoa wapi.
 
Mazoezi ya siku 2 ,timu inacheza mechi ya kirafiki, wachezaji wametoka mapumziko ni hatari kwa afya zao, ni rahisi kupata injury tena ya muda mrefu

Tukumbuke timu ipo pre season ila haina kocha wa viungo,haina kocha wa magolikipa na wala haina mtaalamu wa physiology
We haina hata mtaalam wa physiology?
Hivi mazoezi ya siku mbili yanaleta injury eeeeh?
UJUAJI haufai wana yanga wenzangu.
 
Mazoezi ya siku 2 ,timu inacheza mechi ya kirafiki, wachezaji wametoka mapumziko ni hatari kwa afya zao, ni rahisi kupata injury tena ya muda mrefu

Tukumbuke timu ipo pre season ila haina kocha wa viungo,haina kocha wa magolikipa na wala haina mtaalamu wa physiology

Kila kiti vululu vululu yaani [emoji23][emoji23]
 
Umeshasahau kuwa timu ulizozitajwa hapo zipo top 20 Africa... Nyie mnajifananisha hapo wakati Yanga mko wa 80 Africa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... Inasikitisha sana

Tuonyeshe mahala ambapo panaonyesha RED ARROWS FC wako ndani ya 20 bora afrika.
 
We haina hata mtaalam wa physiology?
Hivi mazoezi ya siku mbili yanaleta injury eeeeh?
UJUAJI haufai wana yanga wenzangu.

Yuko sawa kabisa.

Ndio maana kabla mchezaji ajaingia uwanjani ni lazima afanye warming up.

Warming up inapunguza uwezekano wa kupata unneccesary injuries.

Likizo ya muda mrefu inahitaji warming up ya muda mrefu pia.
 
Mnyama alishacheza na watoto wa Kocha Meky Mexime (Kambiaso) na wakafungana 2-2 hivyo wala hatushangai iwapo walicheza na watoto wa Ismailia na wakafungana 1-1. Ni mechi za mazoezi hizo, Si ajabu hata golini alidaka kipa wa akiba Ally Slim

Kocha mpya wa Simba amepewa nafasi ya kuangalia wachezaji wa kuwatema hivyo anajua anachokitafuta kwenye hizo mechi
 
Umeshasahau kuwa timu ulizozitajwa hapo zipo top 20 Africa... Nyie mnajifananisha hapo wakati Yanga mko wa 80 Africa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]... Inasikitisha sana
Kila nchi ina bingwa wake,Simba ni mabingwa wa nini?
 
Mabingwa wa south Africa Mamelodi wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Congo TP mazembe wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Morocco Raja Casablanca wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Zambia red arrows wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Champions league Wydad wako nyumbani kwao

Mabingwa wa confederation Berkane wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Tanzania Yanga wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Mapinduzi cup wako Misri

- ENDELEENI KUDANGA
Kitu nilichogundua kuwa mashabiki wengi wa yanga ni hamnazo ni kwamba timu imeweka Oda sehem ya kufikia Na gharama by then inaghairi Safari siku nne kabla ya kuondoka wale wanataka yanga iilipie gharama zote walizokubaliana kwa kuwapotezea muda pengne walikuwa Na Oda ya timu nyingine timu imeingia hasara halafu kiongozi anakuja Na hoja dhaifu kabisa je hizo ratiba hawakuwa wanazijua kabla au uzezeta???
 
Kitu nilichogundua kuwa mashabiki wengi wa yanga ni hamnazo ni kwamba timu imeweka Oda sehem ya kufikia Na gharama by then inaghairi Safari siku nne kabla ya kuondoka wale wanataka yanga iilipie gharama zote walizokubaliana kwa kuwapotezea muda pengne walikuwa Na Oda ya timu nyingine timu imeingia hasara halafu kiongozi anakuja Na hoja dhaifu kabisa je hizo ratiba hawakuwa wanazijua kabla au uzezeta???
Pia ni uzezeta kuweka kambi nje ya nchi wakati mabingwa wote wa nchi mbalimbali na timu kubwa zinaweka kambi ndani ya nchi yao

Kwa kugundua hilo tukawa tumewalipa pesa yao kwasababu Yanga kwasasa tuna pesa nyingi mpk tunakosa matumizi mengine ya kufanyia
 
Back
Top Bottom