Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri tuendelee na mfumo wa chama kimoja kama ilivyo sasa? Hamjui faida ya kuwa na upinzani imara. Hata kama Kenya bado kuna lawama lakini si unaona jinsi demokrasia yao ilivyo na nguvu kulinganisha na ya kwetu? Hapa Tanzania msipopenda tozo za hovyo mnathubutu kuandamana? Wajinga wa nchi hii mpaka mje kujua umuhimu wa upinzani imara itakuwa muda mrefu umepita.Nilikuwa nawaza hapa kwamba CCM ndio chanzo cha matatizo yote haya, lakini hapana wananchi wanaoikalia Tanzania ndio chanzo cha mfumo mbovu wa siasa zilizopo nchini.
Mohamed Kawaida , Tulia Akson nk. (Tunaowaona kama wajinga) , wanaweza kuwa wapinzani wakubwa ikiwa Chadema ingekuwa madarakani , fikiria kuhusu Mchungaji Peter Msigwa.
Kenya kwa mfano , migogoro na lawama kwa viongozi haijawahi kuisha mbali na vyama tofauti tofauti kushika dola. tofauti na kwetu Chama kimoja , lakini Kenya ni political stable kuliko Tanzania kwasababu ya wananchi wake.
Freeman Mbowe angekuwepo Nafasi aliyopo Samia , huenda Samia, au Majaliwa wangekuwa wapinzani pia.
Jitihada kubwa ingewekwa kwenye kuelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali yanayowahusu na kuwaonyesha nguvu yao kwanza,
Nachokiona mimi ni kwamba Serikali itaendelea kufanya inachokitaka na kuendelea kuwepo , tutalia kwenye tweets online nk. baada ya siku tunarudi hatua tuliyotoka!. nini kifanyike?.
Hivi,hao CHADEMA siyo Watanzania wanaojua kero za nchi yao?Nilikuwa nawaza hapa kwamba CCM ndio chanzo cha matatizo yote haya, lakini hapana wananchi wanaoikalia Tanzania ndio chanzo cha mfumo mbovu wa siasa zilizopo nchini.
Mohamed Kawaida , Tulia Akson nk. (Tunaowaona kama wajinga) , wanaweza kuwa wapinzani wakubwa ikiwa Chadema ingekuwa madarakani , fikiria kuhusu Mchungaji Peter Msigwa.
Kenya kwa mfano , migogoro na lawama kwa viongozi haijawahi kuisha mbali na vyama tofauti tofauti kushika dola. tofauti na kwetu Chama kimoja , lakini Kenya ni political stable kuliko Tanzania kwasababu ya wananchi wake.
Freeman Mbowe angekuwepo Nafasi aliyopo Samia , huenda Samia, au Majaliwa wangekuwa wapinzani pia.
Jitihada kubwa ingewekwa kwenye kuelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali yanayowahusu na kuwaonyesha nguvu yao kwanza,
Nachokiona mimi ni kwamba Serikali itaendelea kufanya inachokitaka na kuendelea kuwepo , tutalia kwenye tweets online nk. baada ya siku tunarudi hatua tuliyotoka!. nini kifanyike?.
Na wewe unauhakika sisiemu wakiendelea kushika dola kuna jipya watalifanya? Tuachane na fear of unknownNilikuwa nawaza hapa kwamba CCM ndio chanzo cha matatizo yote haya, lakini hapana wananchi wanaoikalia Tanzania ndio chanzo cha mfumo mbovu wa siasa zilizopo nchini.
Mohamed Kawaida , Tulia Akson nk. (Tunaowaona kama wajinga) , wanaweza kuwa wapinzani wakubwa ikiwa Chadema ingekuwa madarakani , fikiria kuhusu Mchungaji Peter Msigwa.
Kenya kwa mfano , migogoro na lawama kwa viongozi haijawahi kuisha mbali na vyama tofauti tofauti kushika dola. tofauti na kwetu Chama kimoja , lakini Kenya ni political stable kuliko Tanzania kwasababu ya wananchi wake.
Freeman Mbowe angekuwepo Nafasi aliyopo Samia , huenda Samia, au Majaliwa wangekuwa wapinzani pia.
Jitihada kubwa ingewekwa kwenye kuelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali yanayowahusu na kuwaonyesha nguvu yao kwanza,
Nachokiona mimi ni kwamba Serikali itaendelea kufanya inachokitaka na kuendelea kuwepo , tutalia kwenye tweets online nk. baada ya siku tunarudi hatua tuliyotoka!. nini kifanyike?.
Tatizo sio katiba tatizo ni watu.itafanya nchi ichangamke zaidi hatuwezi ongozwa na chama kimoja toka uhuru tukitegemea mabadiliko hasa yakiuchumi ,kisiasa na kijamii ni uongo tutegemee ccm itubadilishe hatukatai wazee wa ccm vilikua vyuma kweli ila wamekuja tengeneza kizazi weak sana kuelewa siasa ni nini mwisho wa siku wanakuja tumia nguvu zaidi kuliko akili mfano kuna haja gani ya asilimia zaidi ya 95% bungeni kuwa chama tawala ungali hawasaidii kihoja na kimaslahiii (wote tunajua walivyoingia) kutofata katiba ungali katiba yetu ni mbovu, nk kimsingi kama taifa inabidi ifanyike overhaul ya maana madaraka yasiwe ya chama kimoja kinajisahau jumlisha mizaha isiokuwa na tija kwa taifa baada ya miaka 25 tutakuwa wapi?
Kabla ya demokrasia Afrika yote adui yetu alikuwa mmoja mkoloni baada ya demokrasia Afrika yote ilianza kugawanyika na civilians war zilianza hapo demokrasia ilikuja kwa ajili ya kutugawa kimtazamo kututoa kwenye ajenda za kukataa kutawaliwa na mkoloniKataa demokrasia ni upumbavu wa kuletwa na wazungu africa .
Ukila kila siku dagaa mwisho wake unakizikinai jaribu basi kubadilisha mlo sio guarantee ule mlo mmoja siku zote haikuandikwa popote na isitoshe wao wapumzike kidogo waifeel na wao hali ya kuwa chini ya chama kingineNilikuwa nawaza hapa kwamba CCM ndio chanzo cha matatizo yote haya, lakini hapana wananchi wanaoikalia Tanzania ndio chanzo cha mfumo mbovu wa siasa zilizopo nchini.
Mohamed Kawaida, Tulia Akson nk. (Tunaowaona kama wajinga), wanaweza kuwa wapinzani wakubwa ikiwa Chadema ingekuwa madarakani, fikiria kuhusu Mchungaji Peter Msigwa.
Kenya kwa mfano, migogoro na lawama kwa viongozi haijawahi kuisha mbali na vyama tofauti tofauti kushika dola. Tofauti na kwetu Chama kimoja, lakini Kenya ni political stable kuliko Tanzania kwasababu ya wananchi wake.
Freeman Mbowe angekuwepo Nafasi aliyopo Samia, huenda Samia, au Majaliwa wangekuwa wapinzani pia.
Jitihada kubwa ingewekwa kwenye kuelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali yanayowahusu na kuwaonyesha nguvu yao kwanza.
Nachokiona mimi ni kwamba Serikali itaendelea kufanya inachokitaka na kuendelea kuwepo, tutalia kwenye tweets online nk. baada ya siku tunarudi hatua tuliyotoka! Nini kifanyike?
Ilishajibambanua niyatofauti na hivyo matunda yake ni mwendo wa kuanguliwa kwa mawe sana,mixer marungu na fimbo.Nilikuwa nawaza hapa kwamba CCM ndio chanzo cha matatizo yote haya, lakini hapana wananchi wanaoikalia Tanzania ndio chanzo cha mfumo mbovu wa siasa zilizopo nchini.
Mohamed Kawaida, Tulia Akson nk. (Tunaowaona kama wajinga), wanaweza kuwa wapinzani wakubwa ikiwa Chadema ingekuwa madarakani, fikiria kuhusu Mchungaji Peter Msigwa.
Kenya kwa mfano, migogoro na lawama kwa viongozi haijawahi kuisha mbali na vyama tofauti tofauti kushika dola. Tofauti na kwetu Chama kimoja, lakini Kenya ni political stable kuliko Tanzania kwasababu ya wananchi wake.
Freeman Mbowe angekuwepo Nafasi aliyopo Samia, huenda Samia, au Majaliwa wangekuwa wapinzani pia.
Jitihada kubwa ingewekwa kwenye kuelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali yanayowahusu na kuwaonyesha nguvu yao kwanza.
Nachokiona mimi ni kwamba Serikali itaendelea kufanya inachokitaka na kuendelea kuwepo, tutalia kwenye tweets online nk. baada ya siku tunarudi hatua tuliyotoka! Nini kifanyike?
Kwa muktadha huo huo unaowaza wewe, kati ya Tanzania na North Korea ipi Ina uchumi mkubwa?Kati ya UK na China ipi ina uchumi mkubwa?
Na wajinga kama nyie wa MIND YOUR BUSINESS ndo tatizo kubwa au mtaji wa ccmIssue siyo kubadilisha Viongozi/ Wanasiasa Suala ni Kubadilisha Mindset za jamii (UELEWA).....Wanasiasa hawa lao moja....(KUTAFUNA NCHI). Walioko Upinzani walikuwa CCM, waliopo CCM walikuwa UPINZANI....Anayeitwa FISADI leo huko CCM, kesho atapokelewa UPINZANI....Anayeitwa KAMANDA leo huko UPINZANI kesho atakutwa majukwaani akiwananga MAKAMANDA wenzake. Mind your business....