Mna uhakika Hela mliyompa 'Mtu' wenu aifikishe kwa 'Refa' wa Leo ili mshinde 'nyingi' ameifikisha kweli?

Mna uhakika Hela mliyompa 'Mtu' wenu aifikishe kwa 'Refa' wa Leo ili mshinde 'nyingi' ameifikisha kweli?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kilichonifanya GENTAMYCINE niulize hili ni kwamba Gari yake ina miezi Mitatu sasa ni Mbovu ila leo iko Mtaani anapiga nayo Misele na Rangi kaibadilisha pia.

Pia kuna Viwanja Vinauzwa huko Chanika cha Kushangaza kanipigia anasema Kesho Alhamisi nimsindikize akanunue Vitatu.

Na sijui ni kwanini huwa mnamuamini 100% huyu 'Mtu' wenu wakati mnajua kuwa hata aliyewahi kuwa Mfadhilii wenu aliyemuita Mtu Mbwa pale Mitaa ya Kamata akiwa Waziri wa Ujenzi alishawahi Kumfukuza Ofisini Kwake kutokana na Usamjo Usamjo (Utapeli Utapeli) wake.

Na kama mlipa Shilingi Milioni 50 azifikishe kwa Refa wa Leo kupitia Taasisi fulani iliyoko Karume kwa ninavyomjua iliyofika ni Shilingi Milioni 5 U 10 tu ila siyo yote. Watoto wa Mjini na Mafia wa Soka la Bongo na Michezo michafu tunajuana na ndiyo maana nina Mashaka makubwa kama Mtonyo (Pesa) za Magodoro na za Kukwepa Kodi zimemfikia Mwamuzi (Refa) wa leo.

Kila Ia Kheri mno Watunisia wote leo.
 
Ifikie hatua sasa kwenye hizi za kimataifa, Gsm awe anapeleka kwa mkono wake mwenyewe
Mkuu huyo Mwana waliyempa Mzigo aufikishe kwa Refa kupitia Wazee wa Karume ni Samjo Samjo ( Mjanja Mjanja ) kuliko Maelezo. Na kwakuwa namjua nabaki Kuchska tu.
 
Hizi za ndani bahasha huwa inafika vizuri, tatizo za nje ndio kuna kaugumu
Nasikia Wauza Magodoro yenye Kunguni, Chawa na Matapeli wa Kukwepa Kodi walimpa Shilingi Milioni 75 ambapo za Refa na Wenzake ziwe Milioni 50 kisha za Mratibu ( Mamlaka ya Karume ) zao ziwe Shilingi Milioni 24 na Yeye ( Mwana ) anayezipelela achukue yake Shilingi Milioni 1 tu.

Kwa ninavyowajua Hela iliyofika kwa Refa, Wenzake na Mamlaka ya Karume ni Shilingi Milioni 15 au 20 tu na zingine zote Kazichikichia ( Kazisunda ) Mfukoni mwake.

Kama namuona vile Kudadadeki zake!
 
Kilichonifanya GENTAMYCINE niulize hili ni kwamba Gari yake ina miezi Mitatu sasa ni Mbovu ila leo iko Mtaani anapiga nayo Misele na Rangi kaibadilisha pia.

Pia kuna Viwanja Vinauzwa huko Chanika cha Kushangaza kanipigia anasema Kesho Alhamisi nimsindikize akanunue Vitatu.

Na sijui ni kwanini huwa mnamuamini 100% huyu 'Mtu' wenu wakati mnajua kuwa hata aliyewahi kuwa Mfadhilii wenu aliyemuita Mtu Mbwa pale Mitaa ya Kamata akiwa Waziri wa Ujenzi alishawahi Kumfukuza Ofisini Kwake kutokana na Usamjo Usamjo (Utapeli Utapeli) wake.

Na kama mlipa Shilingi Milioni 50 azifikishe kwa Refa wa Leo kupitia Taasisi fulani iliyoko Karume kwa ninavyomjua iliyofika ni Shilingi Milioni 5 U 10 tu ila siyo yote. Watoto wa Mjini na Mafia wa Soka la Bongo na Michezo michafu tunajuana na ndiyo maana nina Mashaka makubwa kama Mtonyo (Pesa) za Magodoro na za Kukwepa Kodi zimemfikia Mwamuzi (Refa) wa leo.

Kila Ia Kheri mno Watunisia wote leo.
Hili dili nikilipata Mimi, natafuna hiyo 50 narudi Tena nawambia amesema ongeza nyingine ili ili nitoe penati + viambata kibao ikiwemo offside move zao

Baaada ya kunipa kinachotokea maji watayaita mma dk ya tano naanza kulima yellow kwa wachezaji wao wote muhimu, dk ya 20 red kadi Kama zile za MTIBWA yaan

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huyo Mwana waliyempa Mzigo aufikishe kwa Refa kupitia Wazee wa Karume ni Samjo Samjo ( Mjanja Mjanja ) kuliko Maelezo. Na kwakuwa namjua nabaki Kuchska tu.
Kama vidoge vimeisha, wahi mapema Mirembe ukachukue vingine. Unaelekea kubaya.
 
Back
Top Bottom