GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kilichonifanya GENTAMYCINE niulize hili ni kwamba Gari yake ina miezi Mitatu sasa ni Mbovu ila leo iko Mtaani anapiga nayo Misele na Rangi kaibadilisha pia.
Pia kuna Viwanja Vinauzwa huko Chanika cha Kushangaza kanipigia anasema Kesho Alhamisi nimsindikize akanunue Vitatu.
Na sijui ni kwanini huwa mnamuamini 100% huyu 'Mtu' wenu wakati mnajua kuwa hata aliyewahi kuwa Mfadhilii wenu aliyemuita Mtu Mbwa pale Mitaa ya Kamata akiwa Waziri wa Ujenzi alishawahi Kumfukuza Ofisini Kwake kutokana na Usamjo Usamjo (Utapeli Utapeli) wake.
Na kama mlipa Shilingi Milioni 50 azifikishe kwa Refa wa Leo kupitia Taasisi fulani iliyoko Karume kwa ninavyomjua iliyofika ni Shilingi Milioni 5 U 10 tu ila siyo yote. Watoto wa Mjini na Mafia wa Soka la Bongo na Michezo michafu tunajuana na ndiyo maana nina Mashaka makubwa kama Mtonyo (Pesa) za Magodoro na za Kukwepa Kodi zimemfikia Mwamuzi (Refa) wa leo.
Kila Ia Kheri mno Watunisia wote leo.
Pia kuna Viwanja Vinauzwa huko Chanika cha Kushangaza kanipigia anasema Kesho Alhamisi nimsindikize akanunue Vitatu.
Na sijui ni kwanini huwa mnamuamini 100% huyu 'Mtu' wenu wakati mnajua kuwa hata aliyewahi kuwa Mfadhilii wenu aliyemuita Mtu Mbwa pale Mitaa ya Kamata akiwa Waziri wa Ujenzi alishawahi Kumfukuza Ofisini Kwake kutokana na Usamjo Usamjo (Utapeli Utapeli) wake.
Na kama mlipa Shilingi Milioni 50 azifikishe kwa Refa wa Leo kupitia Taasisi fulani iliyoko Karume kwa ninavyomjua iliyofika ni Shilingi Milioni 5 U 10 tu ila siyo yote. Watoto wa Mjini na Mafia wa Soka la Bongo na Michezo michafu tunajuana na ndiyo maana nina Mashaka makubwa kama Mtonyo (Pesa) za Magodoro na za Kukwepa Kodi zimemfikia Mwamuzi (Refa) wa leo.
Kila Ia Kheri mno Watunisia wote leo.