Mna uhakika Wameoga, Wamepiga Miswaki na hata Kuchamba vyema ili Wafaulu vyema kwa huu Mgawo wenu wa ovyo wa Maji?

Mna uhakika Wameoga, Wamepiga Miswaki na hata Kuchamba vyema ili Wafaulu vyema kwa huu Mgawo wenu wa ovyo wa Maji?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tunawatakia Kila la Kheri Kidato cha Nne kwenye Mtihani wa Taifa 🙏

Chanzo: dawasatz

Halafu bado tu CEO Wao ( Wenu ) Tumbo Tumbo SIMTANK anapata hadi Nguvu za kwenda Kumtembelea Naibu Spika wa Bunge Zungu Ofisi za Bunge Dar es Salaam na mpaka kupiga na Nne kabisa.

Kwa Hasira nyingi nilizonazo za huu Mgawo wa hovyo hovyo wa Maji hasa Eneo Kubwa la Mkoa wa Dar es Salaam ngojea tu nisikilize Wimbo wangu mpya niupendao Rhumba ( wa Taratibu ) wa Fally Ipupa 'Decaprio' uitwao 'Se Yo' ili nifarijike na zipungue pia.
 
Tunawatakia Kila la Kheri Kidato cha Nne kwenye Mtihani wa Taifa 🙏

Chanzo: dawasatz

Halafu bado tu CEO Wao ( Wenu ) Tumbo Tumbo SIMTANK anapata hadi Nguvu za kwenda Kumtembelea Naibu Spika wa Bunge Zungu Ofisi za Bunge Dar es Salaam na mpaka kupiga na Nne kabisa.

Kwa Hasira nyingi nilizonazo za huu Mgawo wa hovyo hovyo wa Maji hasa Eneo Kubwa la Mkoa wa Dar es Salaam ngojea tu nisikilize Wimbo wangu mpya niupendao Rhumba ( wa Taratibu ) wa Fally Ipupa 'Decaprio' uitwao 'Se Yo' ili nifarijike na zipungue pia.
Pombe zinakuaga zinawaponza Sana.
 
Back
Top Bottom