hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 454
Kwa jinsi Hali ya kiuchumi ilivyo ngumu, imagine mtu analipia maombi ya vyuo kupitia Nacte pesa ikishachukuliwa ndiyo kizungumkuti kinapoanza.
Kulog in issue, ukiwapogia wanajibu watakavyo hebu tunaomba waheshimu pesa za watu.
Hii no moja Kati ya taasisi za hovyo kabisa,HAINA SIFA YA KUWA CHOMBO CHA KUDHIBITI UBORA
NI HAYO ASANTENI KWA KUNIPIGA.
Kulog in issue, ukiwapogia wanajibu watakavyo hebu tunaomba waheshimu pesa za watu.
Hii no moja Kati ya taasisi za hovyo kabisa,HAINA SIFA YA KUWA CHOMBO CHA KUDHIBITI UBORA
NI HAYO ASANTENI KWA KUNIPIGA.