Mnachokifanya Simba kitawaponza kwenye mechi yenu na Raja

Simba haiwezi kumfunga Raja iwe kwa Mkapa au Mo arena, popote pira litakapopigwa mkono unawahusu.
 
Kwani draw huwa inakatazwa?Si zingine kwenye footbalu zichukuliwe kama slogan tu.
 
Simba atakula bao mbili swafi niko apa apa mimi if.
 
Nyinyi ni akina nani hadi mtupe ushauri!, Casablanca jmosi wanapasuliwa kama kawaida hatuna undugu nao.
 
Acha ujinga jmosi uje kwamkapa uone Casablanca tunavyowapasua
 
Kwani simba ameandika hivyo??? Au mashabiki?
 
Nyinyi ni akina nani hadi mtupe ushauri!, Casablanca jmosi wanapasuliwa kama kawaida hatuna undugu nao.
Hayo ni maneno ya kishabiki tu ambayo ndio huwa mnapenda kuyasikia toka kwa viongozi wenu!!kwa timu uliyonayo sasa huwezi ukasema hivyo kwa timu kama raja c.Hizo kauli mbiu za siasa haziwi applicable kwenye mpira!!huku ni uwezo wa timu na jinsi ulivyojiandaa,bila hivyo vitu hata game lichezewe chumbani kwako utachezea kipigo tu!!TZ tafuteni tu michezo mingine mpira wa miguu hauwapendi kwani lazima muulazimishe uwapende?!!eti ligi ya 8 Afrika hahaaa!?SIFA ZA KIJINGA
 
Rais hata angetoa 100m kwa bao moja, Simba, kwa forward yao hii mchele mchele hakuna mwenye uwezo wa kuifunga Raja hata bao la kuotea.
Kuwa na akiba ya maneno...hyo Simba unayosema ndo inaongoza kwa mabao ligi kuu...hao raja ni nani mpk wasifungwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…