Mnada mali za Makamu wa Rais Equatorial Guinea, Teodoro Nguema: Urais Afrika ni mtamu kwa marais kama hawa

Nafikiri kuna mahali tunapishana. Hizo pesa hao wazungu wamezichukua na kuamua kuwapelekea wananchi chanjo, si zingewasaidia kwa mambo mengine ya muhimu zaidi?

Hata kuwapelekea chanjo na madawa bado ni msaada. Kwanini wawachagulie cha kuwafanyia?
Lakini mkuu hao ni Marekani wamerudisha kidogo, England, Ufaransa na nchi nyingine wametaifisha hiyo pesa.
Wapate Chanjo wawe wazima maisha yaendelee .
 
Umetumia dawa gani Post yako kuweza kubaki Tanzania?
 
Hamna kitu hapo, kwanini fedha zitumike kununua chanjo. Hao jamaa wanaona WaAfrika wajinga sana,
 
Trump alikuwa sahihi sana kutukana waafrica,tunawaza wizi anasa na kukandamiza wengine basi
 
Nchi zetu zinaitwa Masikini ila Matumizi na Matanuzi ya serikali hayaaksi Umasikini.

Leo nimeona video ya misafara ya Hangaya nikabaki nashangaa
 
Ili tuengelee yafaa tubinafishe uongozi,tuajiri watu toka mataifa walioweza,mfano raisi atoke Israel,waziri mkuu japani,mawaziri india, USA,china,nk Ili tupate watu sahihi wa kutuongoza ni aibu kwa raslimali hizi tele zimejaa bado tu masikini.Mtu mweusi hana uwezo wa kuongoza Jamii ikawa na maendeleo alisema kaburu bota.
 
Hilo suala la kurisishana kazi ni kubwa sana africa.kuna watu leo wana miaka 55 kila leo wanahangaikia watoto wao wataajiliwa vipi serikalini yaani full kuyafuta attention na appointment ili watoto wao waajiriwe.
Africa tunapenda kuishi hivi,yaani kazini muwe familia moja kwenye serikali.
 
Mimi ni mweusi lakini mtu mweusi simuamini,
Angalia maendeleo ya Jamaica, Haiti,New Guinea Papua, West Timor na nyingi zinazokaliwa na watu weusi uone kama tunao uwezo wa kujitegemea ama kutawaliwa tu.

Sisi ni wabinafsi mno, ni warafi, wenye tamaa,tuna vijicho,wavivu, wapenda starehe,kujisifu, kujionesha,wapenda njia za mkato,kusifiwa,matumizi makubwa,ulozi, uchawi na visingizio vya kwa nini tuko nyuma.

Na hatuoni aibu kutaka huruma kwa weupe wkt huo tunajiibia wenyewe na kuficha kwa hao weupe.

Kingine hatupendi kutafuta suluhu za kudumu na kujikwamua kutoka kwenye umaskini tuliojitafutia. Kuanzia elimu zetu, tamaduni nk tunatazama toka kwao na hatuongezi wala kupunguza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…