DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Sio tamaa ,Bali msg zao wanazonitumia ndio maana nikauuliza kama hii ni kweli
Sawa mkuu,na hapa masikini ndio wanaonyonywa zaidi ,maana mtu Mwenye pesa sake hawezi cheza huo ujinga
Na kila Siku lazima wakutumie
Naona mkuu umenikaziaPunguza Tamaa hapa Tz hakuna mnada wakupata TV kwa 220 then kwann watu mnakuwa wajinga kiasi hiki cha kutamani TV kwa sh 220
kwenye ebay mbona minada huwa inafanywa..sio lazima physically..Maisha ni magumu watu wakafikiria waje vipi ndo wamekuja na mnada,mnada unaofanyika kwenye background we tangu umekuwa ushaona mnada unafanyika bila wewe kushiriki physically so that what we call betting ila imkuja kwa mlango wa nyuma
Ila ukifuatilia mdana wa eBay unakufany ujione pale physically japo indirect ila voda wao hawako clear kabisa yani km tatu mzuka tukwenye ebay mbona minada huwa inafanywa..sio lazima physically..
Huu wa voda sio mnada waache usanii,ni bahati nasibu
Kujionea kwenye simu ndo physically??..Nimekuambia kuwa huu wa voda sio mnada..Ni bahati nasibu,na nimeisikia kwenye tangazo asubuhi kuwa ukiweka dau lako kama ni la kipekee unaambia na kama sio pia unaambia..ni bahati nasibu hii.Ila ukifuatilia mdana wa eBay unakufany ujione pale physically japo indirect ila voda wao hawako clear kabisa yani km tatu mzuka tu
Soma vizuri mkuu nimekwambia indirectly yaani kinachofanyika ni reasonable as if uko hapo ila voda km tulivyokubaliana wote wao wanakamari tuKujionea kwenye simu ndo physically??..Nimekuambia kuwa huu wa voda sio mnada..Ni bahati nasibu,na nimeisikia kwenye tangazo asubuhi kuwa ukiweka dau lako kama ni la kipekee unaambia na kama sio pia unaambia..ni bahati nasibu hii.
Ukiona fursa inapigiwa debe sana basi tambua hiyo fursa ni weweHabari zenu wakuu
Kuhusu hii kampeni ya mnada poa ya Vodacom ni ya kweli au ni propaganda tu.
Na kama ni kweli, mbona hatuoni hao washindi wakitangazwa?
Rudia kusoma ulichoandikanafikiria, mazwawa wangapi wenye upeo kama wako juu ya hili swala ( kamari baridi ) wako nje ya JF
KumbeUkiona fursa inapigiwa debe sana basi tambua hiyo fursa ni wewe
Jr[emoji769]
Ni wale wale wa Tatu mzuka... Ni new product tu. ...Haha alafu walisema wanashirikiana na tatu mzuka
True story...hii ni betting wanaibaAchilia mbali washindi, kitu cha kujiuliza, kwenye mnada wanakuwepo mnaoshindana nao kununua bidhaa akisema 200 wewe 220 na dalali akiona kimya kwa muda anamuuzia aliyejuu.
Sasa voda hawasemi aliyejuu ila wanatangaza mshindi kimya kimya pasipo kujua wewe umeweka ngapi na wa juu yako kashinda kwa ngapi!!
Covid inaleta haina mpya za utapeli huku wakijua watz hawafuatilii deep so ni kuwapiga tu.
Nimewaignore haoWanakera na sms zao za mara kwa mara....Waweza kuwa unasubiri kamuamala mara meseji hiyo kucheck Mnada poa.
KweliMaisha ni magumu watu wakafikiria waje vipi ndo wamekuja na mnada,mnada unaofanyika kwenye background we tangu umekuwa ushaona mnada unafanyika bila wewe kushiriki physically so that what we call betting ila imkuja kwa mlango wa nyuma
Na mbaya zaidi dau lako hawakurudishii...we utaona jero ndogo ila wakizikusanya kwa watu kama laki 2 wana hela ya maanaKujionea kwenye simu ndo physically??..Nimekuambia kuwa huu wa voda sio mnada..Ni bahati nasibu,na nimeisikia kwenye tangazo asubuhi kuwa ukiweka dau lako kama ni la kipekee unaambia na kama sio pia unaambia..ni bahati nasibu hii.
Hii tunaita kamari iliyochangamka ila tu watu hawasanuki.Ivi kwani mnada ukiisha kama hujashinda iyo jero yako uliyoweka kama dau lako inarudishwa kwn account kama hairudi basi iyo nikamali tu kama kamali nyingine..
Kwaiyo apo mkiweka vijero jero watu elf 10 ni milion 5 thn wanatoa iyo cjui microwave ya laki 5 kwa Mtu mmoja wakabaki na 4,500,000/= duh
"MJNI SHULE"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona fursa inapigiwa debe sana basi tambua hiyo fursa ni wewe
Jr[emoji769]