Mnada poa wa Vodacom

Mnada poa wa Vodacom

Maisha ni magumu watu wakafikiria waje vipi ndo wamekuja na mnada,mnada unaofanyika kwenye background we tangu umekuwa ushaona mnada unafanyika bila wewe kushiriki physically so that what we call betting ila imkuja kwa mlango wa nyuma
kwenye ebay mbona minada huwa inafanywa..sio lazima physically..

Huu wa voda sio mnada waache usanii,ni bahati nasibu
 
kwenye ebay mbona minada huwa inafanywa..sio lazima physically..

Huu wa voda sio mnada waache usanii,ni bahati nasibu
Ila ukifuatilia mdana wa eBay unakufany ujione pale physically japo indirect ila voda wao hawako clear kabisa yani km tatu mzuka tu
 
Ila ukifuatilia mdana wa eBay unakufany ujione pale physically japo indirect ila voda wao hawako clear kabisa yani km tatu mzuka tu
Kujionea kwenye simu ndo physically??..Nimekuambia kuwa huu wa voda sio mnada..Ni bahati nasibu,na nimeisikia kwenye tangazo asubuhi kuwa ukiweka dau lako kama ni la kipekee unaambia na kama sio pia unaambia..ni bahati nasibu hii.
 
Kujionea kwenye simu ndo physically??..Nimekuambia kuwa huu wa voda sio mnada..Ni bahati nasibu,na nimeisikia kwenye tangazo asubuhi kuwa ukiweka dau lako kama ni la kipekee unaambia na kama sio pia unaambia..ni bahati nasibu hii.
Soma vizuri mkuu nimekwambia indirectly yaani kinachofanyika ni reasonable as if uko hapo ila voda km tulivyokubaliana wote wao wanakamari tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi kwani mnada ukiisha kama hujashinda iyo jero yako uliyoweka kama dau lako inarudishwa kwn account kama hairudi basi iyo nikamali tu kama kamali nyingine..
Kwaiyo apo mkiweka vijero jero watu elf 10 ni milion 5 thn wanatoa iyo cjui microwave ya laki 5 kwa Mtu mmoja wakabaki na 4,500,000/= duh
"MJNI SHULE"
 
Achilia mbali washindi, kitu cha kujiuliza, kwenye mnada wanakuwepo mnaoshindana nao kununua bidhaa akisema 200 wewe 220 na dalali akiona kimya kwa muda anamuuzia aliyejuu.

Sasa voda hawasemi aliyejuu ila wanatangaza mshindi kimya kimya pasipo kujua wewe umeweka ngapi na wa juu yako kashinda kwa ngapi!!

Covid inaleta haina mpya za utapeli huku wakijua watz hawafuatilii deep so ni kuwapiga tu.
True story...hii ni betting wanaiba
 
Maisha ni magumu watu wakafikiria waje vipi ndo wamekuja na mnada,mnada unaofanyika kwenye background we tangu umekuwa ushaona mnada unafanyika bila wewe kushiriki physically so that what we call betting ila imkuja kwa mlango wa nyuma
Kweli
 
Kujionea kwenye simu ndo physically??..Nimekuambia kuwa huu wa voda sio mnada..Ni bahati nasibu,na nimeisikia kwenye tangazo asubuhi kuwa ukiweka dau lako kama ni la kipekee unaambia na kama sio pia unaambia..ni bahati nasibu hii.
Na mbaya zaidi dau lako hawakurudishii...we utaona jero ndogo ila wakizikusanya kwa watu kama laki 2 wana hela ya maana
 
Ivi kwani mnada ukiisha kama hujashinda iyo jero yako uliyoweka kama dau lako inarudishwa kwn account kama hairudi basi iyo nikamali tu kama kamali nyingine..
Kwaiyo apo mkiweka vijero jero watu elf 10 ni milion 5 thn wanatoa iyo cjui microwave ya laki 5 kwa Mtu mmoja wakabaki na 4,500,000/= duh
"MJNI SHULE"
Hii tunaita kamari iliyochangamka ila tu watu hawasanuki.
 
Back
Top Bottom