TPA
Member
- Sep 28, 2016
- 49
- 71
MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA)
TANGAZO:
MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA) INAPENDA KUUTANGAZIA UMMA KWAMBA, KUTAKUWA NA MNADA WA HADHARA KATIKA BANDARI YA MTWARA, UTAKAOFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI, TAREHE 27 OKTOBA, MWAKA 2018 KUANZIA SAA NNE ASUBUHI MPAKA SAA NANE MCHANA.WOTE MNAKARIBISHWA!