Mnada wa Yono na tamaa ya watendaji

Watanzania wanapenda vya dezo au bei chee, bila kujua vya dezo au bei chee ni gharama kubwa sanaaa
 
Mnada una kiingilio?
Huyo Yono Kivela lazima ni mfuasi wa Chadema!

Ni kada mwenzenu huyo na ameshawahi kuwa mbunge huko Njombe kwa miaka mingi tu kupitia hicho chama chenu. Awamu hii iliyojaa ubaguzi wa kila aina haiwezi kutoa hiyo tenda ya udalali kwa mtu wa chadema. Maana ule msemo wa 'huyu ni mwenzetu' ndiyo umerudi sasa kama enzi zileee!
 
GTZ Hapo Nakumbuka Masanja Aliwahi Kuja Kwenye Mnada Akakutana Na Matajiri Wa Arusha Ikawa Hatari Yaani Watu Wana Cash
Hio stori niliisikiaga Kasulu mji mdogo habari zote unazipata..hahaha
 
Nilijua ndugu ndo maana sikuja
 
Huku CCM tozo za wizi zimepigwa marufuku.

Hapo bahari beach wiki yote hii Yono alikuwa anakusanya hicho kiingilio cha mnada wa leo!
 
300×700 watu =washaingiza pesa
Wakati minada watu Wanakuwa washandaa mazingira kabla,
Hiyo ya sahv no zuga tu

Ova
 
Minada ipo UNHCR unalipa 1,000,000 unaingia kwenye mnada unanunua kama ni generator, gari, furniture ukitoka zako unarudishiwa hio 1,000,000 hawataki watu wengi humo
Hili pia nimeskia YONO wamelifanya leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…