Mnadanganywa kusoma sayansi ili walio soma kiswahili/History wawaongoze na kula hela zenu.

Mnadanganywa kusoma sayansi ili walio soma kiswahili/History wawaongoze na kula hela zenu.

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Mgabe alishawahi kusema fisrt class students become engineers, doctors and so and so
third class students become politicians, witch doctors and so and so in order to eat the money of the first class students.

Huo ndo ukweli waliosoama history ndiyo watoa maamuzi ya fedha zenu ziende kwenye miradi au mifukoni mwao. Na ukizingua wanakufurusha na sayansi yako kichwani, heshima ya sayansi ipo shuleni tu mtaani hapana.
Africa tumelogwa.

OVA.
 
Haya maisha ni kutegemeana mkuu, kila mtu ana umhimu wake kwa upande wake, hata Elon Musk anamuhitaji mtu mdogo tu ili kufanikiwa, afu kingine waheshimu sana watu waliosoma sayansi hasa madaktari.
 
Mm wanangu watasoma natural science degrees nataka wagraduate below 20 Kisha nawapa muda kusafiri ovyo kusoma wanataka nn hata mwiez mbili .nawapa mtaji kama 5m Nawambia wahustle watachoonesha kupenda labda mfano ufigaji nawarudisha darasani kusoma certificate yake .na masters nitawaomba (silazimishi) MBA (marketing) .Kisha ntaendelea kusimamia ndoto zao kwa mtaji na ufuatiliaji mpaka nione wamekomaa .najirudia kulewa na wazee wenzangu baa za kizee
 
Mgabe alishawahi kusema fisrt class students become engineers, doctors and so and so
third class students become politicians, witch doctors and so and so in order to eat the money of the first class students.

Huo ndo ukweli waliosoama history ndiyo watoa maamuzi ya fedha zenu ziende kwenye miradi au mifukoni mwao. Na ukizingua wanakufurusha na sayansi yako kichwani, heshima ya sayansi ipo shuleni tu mtaani hapana.
Africa tumelogwa.

OVA.
of course, wenye vichwa wote huwa hawafiki top maishani, ila wale wa kati au wale wa nyuma kabisa. maisha ni mtihani.
 
Mgabe alishawahi kusema fisrt class students become engineers, doctors and so and so
third class students become politicians, witch doctors and so and so in order to eat the money of the first class students.

Huo ndo ukweli waliosoama history ndiyo watoa maamuzi ya fedha zenu ziende kwenye miradi au mifukoni mwao. Na ukizingua wanakufurusha na sayansi yako kichwani, heshima ya sayansi ipo shuleni tu mtaani hapana.
Africa tumelogwa.

OVA.
Sawa lakini hao ndo wanatibu dada zako, watoto wako, na wengine
 
Bongo hakuna wanasayansi ila wanasoma historia ya sayansi na ndio maana hatuna huwezo wa kugundua vitu.
Alafu maisha ya utajiri hayana uhusiano na elimu ya mtu.
 
Bongo hakuna wanasayansi ila wanasoma historia ya sayansi na ndio maana hatuna huwezo wa kugundua vitu.
Alafu maisha ya utajiri hayana uhusiano na elimu ya mtu.
Uwezo wa kugundua vitu hautegemeani na umesoma Nini, ni uwezo binafsi hata wewe unaweza gundua, tusiwasingizie
 
Uwezo wa kugundua vitu hautegemeani na umesoma Nini, ni uwezo binafsi hata wewe unaweza gundua, tusiwasingizie
Sawa mkuu ila pia yote kwa yote africa kwa ujumla huwezo wetu upo chini mno ukilinganisha na nchi za ulaya. kwahyo pia naweza kusema huwezo unatokana na mabara pia.
 
wapi nimepotosha, wewe ndo utakuwa uanwapotosha ili wawe wanahenyeshwa na vikatibu tawala vinataka umeme ndani ya masaa mawili huku engine sita zimezima
Kila mtu anakula pesa ya mwenzake. Hata politician wakiumwa wanatibiwa na daktari kwa fedha.
 
Back
Top Bottom