The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
wapi nimepotosha, wewe ndo utakuwa uanwapotosha ili wawe wanahenyeshwa na vikatibu tawala vinataka umeme ndani ya masaa mawili huku engine sita zimezimaWe endelea kupotosha vijana wapotee
of course, wenye vichwa wote huwa hawafiki top maishani, ila wale wa kati au wale wa nyuma kabisa. maisha ni mtihani.Mgabe alishawahi kusema fisrt class students become engineers, doctors and so and so
third class students become politicians, witch doctors and so and so in order to eat the money of the first class students.
Huo ndo ukweli waliosoama history ndiyo watoa maamuzi ya fedha zenu ziende kwenye miradi au mifukoni mwao. Na ukizingua wanakufurusha na sayansi yako kichwani, heshima ya sayansi ipo shuleni tu mtaani hapana.
Africa tumelogwa.
OVA.
Haujui kitu kuhusu sayansiwapi nimepotosha, wewe ndo utakuwa uanwapotosha ili wawe wanahenyeshwa na vikatibu tawala vinataka umeme ndani ya masaa mawili huku engine sita zimezima
Naunga mkono hoja 👍👏Wanasayansi wako bussy kufikiria, mda wa siasa hawana.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wanafikilia nn hadi viberiti tunaagiza njeWanasayansi wako bussy kufikiria, mda wa siasa hawana.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Sawa lakini hao ndo wanatibu dada zako, watoto wako, na wengineMgabe alishawahi kusema fisrt class students become engineers, doctors and so and so
third class students become politicians, witch doctors and so and so in order to eat the money of the first class students.
Huo ndo ukweli waliosoama history ndiyo watoa maamuzi ya fedha zenu ziende kwenye miradi au mifukoni mwao. Na ukizingua wanakufurusha na sayansi yako kichwani, heshima ya sayansi ipo shuleni tu mtaani hapana.
Africa tumelogwa.
OVA.
Uwezo wa kugundua vitu hautegemeani na umesoma Nini, ni uwezo binafsi hata wewe unaweza gundua, tusiwasingizieBongo hakuna wanasayansi ila wanasoma historia ya sayansi na ndio maana hatuna huwezo wa kugundua vitu.
Alafu maisha ya utajiri hayana uhusiano na elimu ya mtu.
Sawa mkuu ila pia yote kwa yote africa kwa ujumla huwezo wetu upo chini mno ukilinganisha na nchi za ulaya. kwahyo pia naweza kusema huwezo unatokana na mabara pia.Uwezo wa kugundua vitu hautegemeani na umesoma Nini, ni uwezo binafsi hata wewe unaweza gundua, tusiwasingizie
Kila mtu anakula pesa ya mwenzake. Hata politician wakiumwa wanatibiwa na daktari kwa fedha.wapi nimepotosha, wewe ndo utakuwa uanwapotosha ili wawe wanahenyeshwa na vikatibu tawala vinataka umeme ndani ya masaa mawili huku engine sita zimezima
Najua zaidi yako. Ila kaifanyie Inje siyo bongoHaujui kitu kuhusu sayansi
Njoo nikupime akiliNajua zaidi yako. Ila kaifanyie Inje siyo bongo
Huna uwezo huoNjoo nikupime akili