Mnadhani kwa huu mpango kabambe wa viongozi wa Yanga utaacha kuleta lawama na makelele kwa watu makini kama Mimi na wengineo?

Mnadhani kwa huu mpango kabambe wa viongozi wa Yanga utaacha kuleta lawama na makelele kwa watu makini kama Mimi na wengineo?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Kwa sasa ni ngumu kuelewa kwa kua timu ya Yanga sc inapata matokeo na ndiyo maana ukihoji kitu kuhusu Yanga SC mashabiki wanona kama umetumwa au wewe ni mamluki tu upo kuichafua Yanga SC na viongozi wao.

ukweli ni kwamba binafsi nilipoona haya yafuatayo tu nilijua kuna kikundi cha watu wachache kimekuja kutengeneza pesa kupitia Yanga SC.

(1) Raisi wa yanga kupita bila ya kupingwa , hili ni jambo la kushangaza timu kama Yanga tena timu ya wanachama na wanachama wana haki ya kupiga kura na kugombea pamoja na kumchagua kiongozi wanaomtaka wao lakini kwa Eng Hers imekua tofauti kabisa za ndani kabisa kuna watu walitaka kugombea lakini waliitwa kando na kutulizwa kuwa wamuache Hers na kweli hers alikosa upinzani na kupita bila ya kupingwa.

(2) Kufichwa baadhi ya mikataba kama Whizmo na mengineyo, nilishangazwa na taarifa za mkutano mkuu kuona kipengele cha vyanzo vinginevyo bila kuwaambia wanachama kuwa mikataba hiyo imeingiza shilingi ngapi hapa ni dhahiri kabisa huu uongozi upo kwa ajili ya masilahi yao binafsi na siyo masilahi ya timu.

(3) Timu inapata hasara na si kuingiza faida, msimu uliopita timu ilipata faida ya milioni 450+ lakini msimu uliofuata timu imepata negative na ukichunguza kwa undani kuna baadhi ya mambo yamefunikwa funikwa ikiwemo mapato ya timu na timu inaingiza shilingi ngapi wameficha kwa jicho la tatu Eng hers yupo pale juu kuwanufaisha watu na siyo timu.

Viongozi mnoongoza hizi timu za kariakoo msidhani kuwa mnaongoza mbumbumbu hayo mambo ya zama za kiza yamekwisha pita kwa hiyo wekeni mambo hadharani .
 
Kwa sasa ni ngumu kuelewa kwa kua timu ya Ynga sc inapata matokeo na ndiyo maana ukihoji kitu kuhusu Yanga sc mashabiki wanona kama umetumwa au wewe ni mamluki tu upo kuichafua yanga sc na viongozi wao.

ukweli ni kwamba binafsi nilipoona haya yafuatayo tu nilijua kuna kikundi cha watu wachache kimekuja kutengeneza pesa kupitia Yanga sc

(1) Raisi wa yanga kupita bila ya kupingwa , hili ni jambo la kushangaza timu kama yanga sc tena timu ya wanachama na wanachama wana haki ya kupiga kura na kugombea pamoja na kumchagua kiongozi wanaomtaka wao lakini kwa Eng Hers imekua tofauti kabisa za ndani kabisa kuna watu walitaka kugombea lakini waliitwa kando na kutulizwa kuwa wamuache Hers na kweli hers alikosa upinzani na kupita bila ya kupingwa.

(2) Kufichwa baadhi ya mikataba kama Whizmo na mengineyo, nilishangazwa na taarifa za mkutano mkuu kuona kipengele cha vyanzo vinginevyo bila kuwaambia wanachama kuwa mikataba hiyo imeingiza shilingi ngapi hapa ni dhahiri kabisa huu uongozi upo kwa ajili ya masilahi yao binafsi na siyo masilahi ya timu.

(3) Timu inapata hasara na si kuingiza faida, msimu uliopita timu ilipata faida ya milioni 450+ lakini msimu uliofuata timu imepata negative na ukichunguza kwa undani kuna baadhi ya mambo yamefunikwa funikwa ikiwemo mapato ya timu na timu inaingiza shilingi ngapi wameficha kwa jicho la tatu Eng hers yupo pale juu kuwanufaisha watu na siyo timu.

viongozi mnoongoza hizi timu za kariakoo msidhani kuwa mnaongoza mbumbumbu hayo mambo ya zama za kiza yamekwisha pita kwa hiyo wekeni mambo hadharani .
kwahiyo ni nani wa kuja kubadili hiyo hali?
Magoma!!!

mkuu bora apige pesa tu injinia ila mengine ya muhimu tunayaona yakifanyika mimi na magoma ni Yanga damu tena yenye upendo ila mkitupa hiyo Yanga tuiongoze mimi kila ndugu yangu ntamjengea nyumba mbili na IST moja kupitia Yanga,na ubingwa mtausikia kwenye bomba,sisi waswahili tunaweza kuwa viongozi ila sio viongozi wazuri na vile vile tutaiba tu

NI NGUMU KAMA NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANI KUPATA KIONGOZI MZURI KAMA INJINIA,HATA KAMA ANAPIGA PESA KUPITIA YANGA ILA MAMBO YA MSINGI KUHUSU MPIRA KLABUNI YANAONEKANA...HATA MZEE MAGOMA NI NJAA TU IMEMFIKIA KOONI NDO MAANA KALETA HAYA AKIPEWA MKATE YULE ATABADILI GIA ANGANI KAMA KUNGURU
 
We ulichukua form ukafatwa?
Uchaguzi unakaribia wewe fika chukua form, omba kura wanachama tutakupima Wenda utashinda uwe Rais ya Yanga.

Sio kila mkataba utawekwa wazi.
Kuna makamouni hayapendi uwazi uwe kama unavotaka wewe.
Hao ni viongozi tumewaamini, acha wafanye kazi.
We shabiki ngumbalu uambiwe kila kitu ili iweje.

Hasara kwenye hizi team ni laZima mkuu.
Kuendesha team sio familia.
Wachezaji wanalipwa parefu.
Wanasafiri Kwa ndege.
Kambi
Chakula
 
We ulichukua form ukafatwa?
Uchaguzi unakaribia wewe fika chukua form, omba kura wanachama tutakupima Wenda utashinda uwe Rais ya Yanga.

Sio kila mkataba utawekwa wazi.
Kuna makamouni hayapendi uwazi uwe kama unavotaka wewe.
Hao ni viongozi tumewaamini, acha wafanye kazi.
We shabiki ngumbalu uambiwe kila kitu ili iweje.

Hasara kwenye hizi team ni laZima mkuu.
Kuendesha team sio familia.
Wachezaji wanalipwa parefu.
Wanasafiri Kwa ndege.
Kambi
Chakula
Hizi ndo akili mgando,mkataba usihojiwe kwani ni mauzo ya bangi?kwa akili za mbuzi kama ww Yanga itakuja kuharibika vibaya
 
We ulichukua form ukafatwa?
Uchaguzi unakaribia wewe fika chukua form, omba kura wanachama tutakupima Wenda utashinda uwe Rais ya Yanga.

Sio kila mkataba utawekwa wazi.
Kuna makamouni hayapendi uwazi uwe kama unavotaka wewe.
Hao ni viongozi tumewaamini, acha wafanye kazi.
We shabiki ngumbalu uambiwe kila kitu ili iweje.

Hasara kwenye hizi team ni laZima mkuu.
Kuendesha team sio familia.
Wachezaji wanalipwa parefu.
Wanasafiri Kwa ndege.
Kambi
Chakula
jenga hoja na usitumie hisia ujibu maswali mkuu
 
Kwa sasa ni ngumu kuelewa kwa kua timu ya Yanga sc inapata matokeo na ndiyo maana ukihoji kitu kuhusu Yanga SC mashabiki wanona kama umetumwa au wewe ni mamluki tu upo kuichafua Yanga SC na viongozi wao.

ukweli ni kwamba binafsi nilipoona haya yafuatayo tu nilijua kuna kikundi cha watu wachache kimekuja kutengeneza pesa kupitia Yanga SC.

(1) Raisi wa yanga kupita bila ya kupingwa , hili ni jambo la kushangaza timu kama Yanga tena timu ya wanachama na wanachama wana haki ya kupiga kura na kugombea pamoja na kumchagua kiongozi wanaomtaka wao lakini kwa Eng Hers imekua tofauti kabisa za ndani kabisa kuna watu walitaka kugombea lakini waliitwa kando na kutulizwa kuwa wamuache Hers na kweli hers alikosa upinzani na kupita bila ya kupingwa.

(2) Kufichwa baadhi ya mikataba kama Whizmo na mengineyo, nilishangazwa na taarifa za mkutano mkuu kuona kipengele cha vyanzo vinginevyo bila kuwaambia wanachama kuwa mikataba hiyo imeingiza shilingi ngapi hapa ni dhahiri kabisa huu uongozi upo kwa ajili ya masilahi yao binafsi na siyo masilahi ya timu.

(3) Timu inapata hasara na si kuingiza faida, msimu uliopita timu ilipata faida ya milioni 450+ lakini msimu uliofuata timu imepata negative na ukichunguza kwa undani kuna baadhi ya mambo yamefunikwa funikwa ikiwemo mapato ya timu na timu inaingiza shilingi ngapi wameficha kwa jicho la tatu Eng hers yupo pale juu kuwanufaisha watu na siyo timu.

Viongozi mnoongoza hizi timu za kariakoo msidhani kuwa mnaongoza mbumbumbu hayo mambo ya zama za kiza yamekwisha pita kwa hiyo wekeni mambo hadharani .
Nakala iwafikie Tate Mkuu Nifah DR Mambo Jambo Dr Matola PhD MIXOLOGIST
 
kwahiyo ni nani wa kuja kubadili hiyo hali?
Magoma!!!

mkuu bora apige pesa tu injinia ila mengine ya muhimu tunayaona yakifanyika mimi na magoma ni Yanga damu tena yenye upendo ila mkitupa hiyo Yanga tuiongoze mimi kila ndugu yangu ntamjengea nyumba mbili na IST moja kupitia Yanga,na ubingwa mtausikia kwenye bomba,sisi waswahili tunaweza kuwa viongozi ila sio viongozi wazuri na vile vile tutaiba tu

NI NGUMU KAMA NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANI KUPATA KIONGOZI MZURI KAMA INJINIA,HATA KAMA ANAPIGA PESA KUPITIA YANGA ILA MAMBO YA MSINGI KUHUSU MPIRA KLABUNI YANAONEKANA...HATA MZEE MAGOMA NI NJAA TU IMEMFIKIA KOONI NDO MAANA KALETA HAYA AKIPEWA MKATE YULE ATABADILI GIA ANGANI KAMA KUNGURU
kwa hiyo unachotaka kusema hii timu iendelee kuiwa na walanguzi
 
kwahiyo ni nani wa kuja kubadili hiyo hali?
Magoma!!!

mkuu bora apige pesa tu injinia ila mengine ya muhimu tunayaona yakifanyika mimi na magoma ni Yanga damu tena yenye upendo ila mkitupa hiyo Yanga tuiongoze mimi kila ndugu yangu ntamjengea nyumba mbili na IST moja kupitia Yanga,na ubingwa mtausikia kwenye bomba,sisi waswahili tunaweza kuwa viongozi ila sio viongozi wazuri na vile vile tutaiba tu

NI NGUMU KAMA NGAMIA KUPITA KWENYE TUNDU LA SINDANI KUPATA KIONGOZI MZURI KAMA INJINIA,HATA KAMA ANAPIGA PESA KUPITIA YANGA ILA MAMBO YA MSINGI KUHUSU MPIRA KLABUNI YANAONEKANA...HATA MZEE MAGOMA NI NJAA TU IMEMFIKIA KOONI NDO MAANA KALETA HAYA AKIPEWA MKATE YULE ATABADILI GIA ANGANI KAMA KUNGURU
Ndugu mleta bandiko una tatizo kubwa la uelewa au umekusudia kumchafua Hersi Said.

Wakati wa uchaguzi Hersi saidi hajawahi kutamka watu wengine wasigombee ila sisi wanachama tuliona ina haja ya kuchoshana kwakua tulikua na mtu mwenye maono sahihi kwa wakati huu.

Hersi ukiacha werevu alionao katika mambo mengi yahusuyo uendeshaji wa tahasisi lakini anafaida ya kuujua mpira na alikua na Advantage ya kusoma mazingira ya klabu kipindi Cha Msola na Mwakalebela.

Hersi ana mahusiano na GSM ambaye alishakua tayari kutia mzigo lakini uwepo wa Hersi ulisaidia GSM kuifuatilia fedha yake anayo itoa.

Ata kipindi Kikwete ana utaka urais kwa mara ya kwanza mwaka 95, wakubwa akiwemo ( Baba wa Taifa) walimwambia asubiri kwanza japo ana mashabiki wengi ndani ya CCM ila wakati haukua rafiki kwakua Nchi ilikua imepitia kipindi kigumu Sana kiuchumi na madeni kiasi Cha kuto kopesheka katika tahasisi za kimataifa.
Mkapa aka teuliwa kwakua kwa wakati huo alionekana angefaa zaidi,
Kikwete alikubali licha ya shinikizo kubwa kutoka kwa Wapambe waliomtaka ajitoe CCM.

Mkapa Ali pendekezwa kuwa Rais na katika miaka 5 ya kwanza akifanya vizuri na kusidia Tanzania kusamehewa madeni yake ya nje maana isingekua hivyo Saaizi tungelikua kama Zimbabwe ya Sasa.

Kwasasa Yanga ilimuhitaji zaidi Hersi kuliko Hersi kui hitaji Yanga.
Yanga ilitoka kuvurugwa na (Makonda + MO) ilikua inahitani kusimama Tena kiuchumi.
Manji wakati anaondoka, Ali iacha Yanga na Bajeti ya Billion 1.3 katika matumizi ya mwaka wakati uo klabu ilikua inaingiza Chini ya milioni 500 kwa mwaka.
Yanga ika Anza kupitia ugumu wa ki Bajeti wakati Simba imempata MO na kaweka Bajeti ya Billion 2+
Yanga wakati inahangaika bila udhamini ( bakuli) iki kusanya million 500 kwa shida Ina pambana na Simba yenye Bajeti ya bilioni 2+ mwishowe ikawa wachezaji wote wazuri inao taka kuwasajili Simba wakawa wanawachukua kwa jeuri ya fedha mfano uyo Chama.
Aliletwa na Kocha wa kipindi icho wa Yanga George Rwandamina akiwa na vi rasta vyake vya ajabu, Simba wakapita nae, achana na Kagere n.k.
Kwaiyo kwasasa Hersi hakwepeki wakati Yanga kama tahasisi ikijaribu kujenga uchumi wake imara.

Hoja Yako yapili ilihusu udhamini, Ule ni mkutano mkuu, Kuna taarifa zinatolewa kwa ujumla ili kuendana na muda wa mkutano, Yanga Ina wadhamini zaidi ya 10 Sasa huwezi Kila mdhamini uka Anza kumuelezea kaweka kiasi Gani na kwa muda gani, izo ni taarifa unazoweza kupata kwenye ripoti ya ukaguzi.

kwakua ni (public report) tuombe uongozi uiweke hadharani kwenye social media ili Kila mtu aipate.

mfano Manchester united Wana wadhamini zaidi ya 600 Sasa wakisema waanze kuwaelezea wajumbe wa bodi Kila mdhamini anatoa Nini icho kikao si itachukua wiki nzima!!
Taarifa za undani unazipata kwa kurugenzi husika kupitia (public report)
Sasa hivi Yanga Ina Bajeti ya bilion 24 ivi ndugu Magoma anaweza kuoperate kuipata iyo fedha, wakati Yeye alikuwepo wakati Manji kaondoka na timu ili struggle kuifikia Bajeti ya milioni 500 na kumsababishia katibu wetu wa wakati uo (Legendary )Charles Boniface Mkwasa ugonjwa wa Moyo?

Tusi andike vitu tusivyo vifahamu kwa kutaka tusivyo yafahamu.
Taarifa ya mapato na matumizi ime elezwa kwa ujumla wake katika video ya Mkutano mkuu wa Yanga 2024 ingiza U tube utaiona.
 
mfano Manchester united Wana wadhamini zaidi ya 600 Sasa wakisema waanze kuwaelezea wajumbe wa bodi Kila mdhamini anatoa Nini icho kikao si itachukua wiki nzima!!
kwa hiyo unataka kusema Yanga ina wadhamini wengi na ndiyo maaana hawawezi kutangaza wanaingiza kiasi gani
 
Tusi andike vitu tusivyo vifahamu kwa kutaka tusivyo yafahamu.
Taarifa ya mapato na matumizi ime elezwa kwa ujumla wake katika video ya Mkutano mkuu wa Yanga 2024 ingiza U tube utaiona.
una uhakika iliwekwa wazi ??
kama iliwekwa wazi kuna baadhi ya mambo yalifichwa unalijua hilo
 
Mafanikio ya timu ni mataji.

Chini ya Hersi mataji yanamiminika.

Nyie wajinga msiojielewa mnataka faida ya pesa iliyopatikana , je wangesema faida msimu uliopita ni billion 5 unafikir kwenye mgao akaunti yako ingewekwa shiling ngapi?
jibu kwa hoja acha kutumia hisia mkuu
 
Hersi ana mahusiano na GSM ambaye alishakua tayari kutia mzigo lakini uwepo wa Hersi ulisaidia GSM kuifuatilia fedha yake anayo itoa.
unataka kusema GSM hapati faida mkuu tatizo unajibu kama vile GSM kaja kuisaidia Yanga wakti Yanga inamnufaisha GSM pia
 
unataka kusema GSM hapati faida mkuu tatizo unajibu kama vile GSM kaja kuisaidia Yanga wakti Yanga inamnufaisha GSM pia
GSM ni mfanya biashara Tena mwenye mafanikiao kabla ya kuja Yanga, Ao wakina Mavunde, Kitenge n.k walipambana ku mshawishi GSM kuja kuwekeza Yanga.
GSM ata Leo akiamua kuiacha Yanga hawezi filisika ila Yanga tutarudi kwenye uhalisia wetu kama Mwanzo.
Wakati Manji ameodoka, Yanga ilikua na Logo yake na Facility zake na hakuna aliye sogea kuisaidi.

Yanga Ina mamilioni ya mashabiki ndani na nje ya Nchi lakini mpaka Sasa waliojiandikisha na kuchukua kadi hawazidi elfu 90.

Wengi wao hawatalipia kadi za uanachama msimu huu 2023/2024 na kufanya mapato ya klabu kupitia wanachama kupungua kutoka bilion Moja na ushee kufikia milioni 600 timu ikiwa imetwaa taji lake la 30.
Iyo milioni 600 ni fedha ya maji kwa wachezaji na first Aid kit ya timu kwa msimu.
GSM anacho faidika ni kutangaza Bland yake kupitia Yanga na wame Target kimataifa zaidi maana kwa hapa ndani wao ni maarufu.
GSM ana wekeza katika Yanga ili wote wafaidike lakini ata asipowekeza Yanga, Bado GSM bland Yao inaweza ku survive bila Yanga, ila Yanga iki achwa pekeyake haitokufa ila ita zimia (collapse) kama kipindi alipo ondoka Manji.
Udhamini wa Sasa ambao ni mkubwa haizidi bilion mbili kwa Mwaka ambao Simba wameingia na Sunderland.

Yanga na Simba wakati wanafanya iyo biashara ya jezi wao wenyewe walikua walikua wakipata 200 milioni ambayo kwa Sasa ni tone tu katika Bajeti zao.
Izo jezi Zina uharamia mwingi mpaka uziuze na kurudisha fedha Yako ndio maana Vunja bei alishindwa.

Wewe una print jez China/ Thailand kwa gharama kubwa na unalipa kodi,
Wahuni wako DAR wamesha print copy tayari na Wana ziuza 5000/= full kit.
Wote tulishuhudia siku za karibuni zilipo kamatwa maelfu ya Jezi haramu kwenye ma godown Chang'ombe DSM .
Kuiendesha klabu sio jambo rahisi kwa apa Nchini.
 
Hii nchi hata hatujui tunataka nini! Hivi GSM ananufaika nini ha hii yanga? Mkiachiwa timu yenu wiki tu inawashinda. Manji aliwaachia timu yenu, ilikuwaje? Miaka minne ya msoto
 
Back
Top Bottom